Nimechaguliwa kwenda Chuo cha Ufundi Arusha, naomba muongozo

Kylen stone

Member
Apr 10, 2022
5
4
Habari zenu wakuu,

Nimechaguliwa kwenda chuo Cha ufundi Arusha (ATC), sasa nilikuwa naomba muongozo nini cha kufanya kwasababu nimeingia kwenye website yao siielewi.

Napiga simu haipokelewi. Nilikuwa naomba msaada wenu
 
Habari zenu wakuu,

Nimechaguliwa kwenda chuo Cha ufundi Arusha (ATC), sasa nilikuwa naomba muongozo nini cha kufanya kwasababu nimeingia kwenye website yao siielewi.

Napiga simu haipokelewi. Nilikuwa naomba msaada wenu
Wewe uko wapi?
 
Back
Top Bottom