Jackpiano
JF-Expert Member
- Apr 19, 2025
- 531
- 650
Wakuu hiyo situation mnaichukuliaje maana kuhusu pesa inaweza isiwe shida kwanini iwe tofauti kati ya bei anayoona abiria na dereva au wanajiongezea tu imenipa mkanganyiko sana mimi kwenye app ya bolt naona 11500 yeye kwake anasema imekuja 15500 hivi changamoto hiyo mnaichukuliaje hapa nipo njiani lakini bado namuuliza dereva na yeye hana jibu kabisa yaani wakuu je hiyo hali ikiwakuta mnasolve vipi au ndiyo mnalipa ile bill inayosoma ya dereva.