Nimebakwa na wanawake watatu

Nimebakwa na wanawake watatu

I find it very hard to believe,ulijuaje kama umebakwa being a man? na if yes umebakwa ulikua umelala fofofo umejikuta huna surual au huna Boxer au ulivaa kikoi?what i know ukilala na hiyo kitu network ina kata walisimamisha kwa kuweka miti au wali tumia as it is,au hua inasimama when ur asleep?
Fatilia post za nyuma siwezi rudia rudia mimi.
 
Acha kutudanganya sisi ni wajanja kuliko wewe.haiwezekani mtu upoteze fahamu alafu mpini usimame,danganya mkeo na watoto wako
 
Madam Mwajuma unatujua vizuri wanaume? Ulishawahi kujiuliza kwa nini mwanaume haitaji maandalizi kabla ya tendo la kujamiiana? Fanya hivi, muwekee dawa za usingizi mumeo akishazima chezea dushe lake uone kama halijaamka,

nimecheka wee, kweli kabisa tena inasimama kama haina akili mzuri,,,
 
Kibailojia mwanaume habakwi kwa sababu hadi adhamirie kufanya tendo ndio bluetooth inakuwa on! haiwezi kurusha file ukiwa hujitambui. Kilichotokea ulishikwashikwa ukalegea ukafurahia weeeee baadae ndo unajilaumu

Mtu ukilala kila kitu kinakuwa on, unapumua, unahisia,
 
Ila na wewe ulipiga nje ndani kidogo baada ya utamu kolea
 
Huyo kabakwa na kaka Wa hao madada pole sana mkuu usioge kwanza nenda polisi kwanza and then kwa daktari hahikisha mishahawa ya hao makaka isitoke mataconi kwako hadi dsktari wathibitishe
 
Kibailojia mwanaume habakwi kwa sababu hadi adhamirie kufanya tendo ndio bluetooth inakuwa on! haiwezi kurusha file ukiwa hujitambui. Kilichotokea ulishikwashikwa ukalegea ukafurahia weeeee baadae ndo unajilaumu
Mbona wewe ulinibaka??
 
Kama ulikata moto huo MPINI ulikufyatuka vipi?

Hukuwahi kuskia ile stori ya mademu wa zambia na yule kijana? walimpa kinywaji mixa na dozi ya usingizi kisha wakamnywesha viagra baada ya hapo ikawa ni kumtumia tu jamaa mpini umeamka yeye hajijui wadada wanapanda na kushuka kwa zamu walimtumia sana kama 2 days hivi kwa style hiyo kisha wakamtelekeza.
 
Back
Top Bottom