Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,546
Mmmnh... Kamuulize huyo anko ndio anajua nini alikufanyia..!
Hapo sawa.. afu anasema alikuta majimaji mapajani... ya uhai, dasani au kilimanjaro!?
Mmmnh... Kamuulize huyo anko ndio anajua nini alikufanyia..!
"Nimebakwa na mjomba wangu bila ridhaa yangu" kuna kubakwa kwa ridhaa???? Na kama angekubaka kwa ridhaa ungekuja humu kutuletea hadithi hii??
Unatuletea ndoto hapa.! wewe ulkuwa ndotoni tu.Naomba mnisaidie ndugu zangu,ni wiki ya tatu sasa toka nifanyiwe kitendo hiki na mjomba wangu ambaye ninaishi nae. Mke wa mjomba na watoto walisafiri kwenda likizo kijini nikabaki mimi na mjomba baada ya siku mbili mjomba alikuja chumbani kwangu usiku na kugonga.Nilifungua mlango kwa sababu nilihisi labda alikua na shida.,baada ya kufungua mjomba alinambia nisipige kelele anataka nilale nae,niliogopa sana coz sikutegemea kama mjomba anaweza kuniambia maneno hayo,pia maishani mwangu nilikua sijawahi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote. Nilitaka kupiga kelele lakini ghafla mjomba aliniwahi na nahisi aliniwekea madawa na nikapoteza fahamu,na sijui kilichoendelea baada ya hapo.Nilipokuja kupata fahamu nilijiangalia na kujikuta na majimaji katika mapaja yangu lakini sikuhisi maumivu yeyote katika sehemu zangu za siri,yaan mpaka ninapoandika hapa nashindwa kuelewa hivi ni kweli anko alinibaka?Kama ndio kwanini sikuskia maumivu yeyote,coz huwa naskia mara ya kwanza kulala na mwanaume lazma upate maumivu makali?
Hata mie nauliza kama vipi na yeye si angembaka ankaliii tu
Hapo sawa.. afu anasema alikuta majimaji mapajani... ya uhai, dasani au kilimanjaro!?
Pole sana, ni kweli ilibidi kwanza utoe ridhaa yako ndio akubake.[h=2]Nimebakwa na mjomba wangu bila ridhaa yangu[/h]
Naomba mnisaidie ndugu zangu,ni wiki ya tatu sasa
Tell me it's typo..! please
Kweli kabisa!,utamu ukikolea (maana utamu ushakuja) ndio aje atuelezee tena hii story.Mpe afanye kweli ili ujue yalikotokea hayo maji maji. Ila usirudie tena.
Naomba mnisaidie ndugu zangu,ni wiki ya tatu sasa toka nifanyiwe kitendo hiki na mjomba wangu ambaye ninaishi nae. Mke wa mjomba na watoto walisafiri kwenda likizo kijini nikabaki mimi na mjomba baada ya siku mbili mjomba alikuja chumbani kwangu usiku na kugonga.Nilifungua mlango kwa sababu nilihisi labda alikua na shida.,baada ya kufungua mjomba alinambia nisipige kelele anataka nilale nae,niliogopa sana coz sikutegemea kama mjomba anaweza kuniambia maneno hayo,pia maishani mwangu nilikua sijawahi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote. Nilitaka kupiga kelele lakini ghafla mjomba aliniwahi na nahisi aliniwekea madawa na nikapoteza fahamu,na sijui kilichoendelea baada ya hapo.Nilipokuja kupata fahamu nilijiangalia na kujikuta na majimaji katika mapaja yangu lakini sikuhisi maumivu yeyote katika sehemu zangu za siri,yaan mpaka ninapoandika hapa nashindwa kuelewa hivi ni kweli anko alinibaka?Kama ndio kwanini sikuskia maumivu yeyote,coz huwa naskia mara ya kwanza kulala na mwanaume lazma upate maumivu makali?