Pole sana. Mshirikishe mzazi wako ili uwekwe mbali na mjomba asije akakubaka tena. Jihadhari, kaa nae mbali. Hata ukienda polisi sasa hivi hamna ushahidi.
Mkilala tuu haumii, ila akikuingilia kimwili, hasa kwa nguvu bila kukuandaa na bila mikao murua ndo utaumia, pia kwakua sio kidonda yanapoaNaomba mnisaidie ndugu zangu,ni wiki ya tatu sasa toka nifanyiwe kitendo hiki na mjomba wangu ambaye ninaishi nae.
Mke wa mjomba na watoto walisafiri kwenda likizo kijini nikabaki mimi na mjomba baada ya siku mbili mjomba alikuja chumbani kwangu usiku na kugonga.
Nilifungua mlango kwa sababu nilihisi labda alikua na shida.,baada ya kufungua mjomba alinambia nisipige kelele anataka nilale nae,niliogopa sana sababu sikutegemea kama mjomba anaweza kuniambia maneno hayo,pia maishani mwangu nilikua sijawahi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote. Nilitaka kupiga kelele lakini ghafla mjomba aliniwahi na nahisi aliniwekea madawa na nikapoteza fahamu,na sijui kilichoendelea baada ya hapo.
Nilipokuja kupata fahamu nilijiangalia na kujikuta na majimaji katika mapaja yangu lakini sikuhisi maumivu yeyote katika sehemu zangu za siri,yaan mpaka ninapoandika hapa nashindwa kuelewa hivi ni kweli anko alinibaka?
Kama ndio kwanini sikusikia maumivu yeyote,sababu huwa naskia mara ya kwanza kulala na mwanaume lazima upate maumivu makali?
Mkuu umefukua kaburi😛Pole sana
Bado unampa mjomba papuchi?
Imebidi nije nimtazame vizuri manake kanishàngaza kwenye ile siredi yake ya kupakiwa mkongoMkuu umefukua kaburi![]()



Imebidi na mimi nicheki hicho kisa cha mjomba aisee🤔😂Imebidi nije nimtazame vizuri manake kanishàngaza kwenye ile siredi yake ya kupakiwa mkongo![]()
Hee mbona ana matukio sana huyu mkuu, mara alibakwa bila ridhaa na mjomba huku tena ujauzito wa majambazi😛🙌Uzuri wa mitandao ndio huuView attachment 1771140
Ana majanga huyu acha tuHee mbona ana matukio sana huyu mkuu, mara alibakwa bila ridhaa na mjomba huku tena ujauzito wa majambazi![]()


Huyu anatuajabia sanaImebidi na mimi nicheki hicho kisa cha mjomba aisee![]()
Pole sanaNaomba mnisaidie ndugu zangu,ni wiki ya tatu sasa toka nifanyiwe kitendo hiki na mjomba wangu ambaye ninaishi nae.
Mke wa mjomba na watoto walisafiri kwenda likizo kijini nikabaki mimi na mjomba baada ya siku mbili mjomba alikuja chumbani kwangu usiku na kugonga.
Nilifungua mlango kwa sababu nilihisi labda alikua na shida.,baada ya kufungua mjomba alinambia nisipige kelele anataka nilale nae,niliogopa sana sababu sikutegemea kama mjomba anaweza kuniambia maneno hayo,pia maishani mwangu nilikua sijawahi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote. Nilitaka kupiga kelele lakini ghafla mjomba aliniwahi na nahisi aliniwekea madawa na nikapoteza fahamu,na sijui kilichoendelea baada ya hapo.
Nilipokuja kupata fahamu nilijiangalia na kujikuta na majimaji katika mapaja yangu lakini sikuhisi maumivu yeyote katika sehemu zangu za siri,yaan mpaka ninapoandika hapa nashindwa kuelewa hivi ni kweli anko alinibaka?
Kama ndio kwanini sikusikia maumivu yeyote,sababu huwa naskia mara ya kwanza kulala na mwanaume lazima upate maumivu makali?