Nimeanza kutumia PEP saa ya 38 tangu kujichoma sindano ya mtu aliyeathirika na VVU

Rafiki yangu ni nurse ishawahi kumtokea Hii kama mara mbili alipewa PEP yuko fresh now anasema dawa zilikua zinamchosha tu,,,ila kazi ya nurse Mungu awalinde aisee ni kazi ngumu sana na yakujitolea
 
Rafiki yangu ni nurse ishawahi kumtokea Hii kama mara mbili alipewa PEP yuko fresh now anasema dawa zilikua zinamchosha tu,,,ila kazi ya nurse Mungu awalinde aisee ni kazi ngumu sana na yakujitolea
Kwakweli zinachosha Sana asikwambie mtu kujihisi hovyo hovyo
 
Yan haukuchanyikiwa ata kidogo,?? Umeandika kirahisi sana
haya maisha simple sana ukiyachukulia kawaida
Mimi niligonga demu kavu ambaye baada ya wiki 1 nilikuja kuthibitisha ana maambukizi ya UKIMWI
chakushangaza Rafiki zangu ndio walichachawa baada kuwahakikishia nilimla kavu
Mimi nilikuwa cool tu nikafuata tu PROSIJA nikakaa miezi 3 kisha ndio nikaenda kupima enzi hizo hakuna PEP ARVs ilikuwa kutafuta kwa tochi mpk leo nadunda niko vizuri wakati mwingine mawenge na kuchachawa ndio yanakufanya unakonda ghafra ndani ya miezi 2 unakufa
 
Hujui eenh...ninyi vijana mliozaliwa enzi za ARV huwa mna dharau sana ngoma...na ndio mmeifanya isambae kama moto kwenye vichaka...
kwakeli huu UGONJWA kabla ARVs
umeondoa sana wapendwa wetu
Sidhani km kuna familia TANZANIA iliyokosa kuondokewa na mpendwa wao na huyu mdudu
tushukuru sana ARVs
 
Ondoa Hofu, uko poa...visa vya ivo vipo vingi huku mahosp .


Siku nyingine ujikamue kwanza hiyo sehem ulojichoma damu ikutoke, kisha nawa kwa maji tiririka.



Kwasasa Meza PEP Sawa sawa na ushauri ulopewa na umwombe Mungu.


Nakutia nguvu, wakati tupo Internship, Rafiki wangu mwanaaa ,amewah jichoma Mara Tano , kwahiyo amekunywa PEP Mara tano, saizi yuko poaaa.


Siku moja Ma Nurse wanazalisha, yule mama alipata mchaniko mdogo mahali ikalazimika ashonwe, Nurse mmoja wakat anashona akajichoma, wazo la kumpima upya Mzazi likaja, walivyopima wakamkuta Positive..... Nurse akaanza PEP.....yuko poaa mpaka Leo.




ALAFU UNAKUTA MTANZANIA MMOJA, KANYWA UJI, ANAKAA KUSHAMBULIA WATUMISHI WA AFYA....

Hizo Dawa maudhi yake sasa, utafurahi na roho... Zinamaaudhi balaaa, usishangae kuchoka Sana, kula Sana,Tumbo kuuma,kuharisha, kuota unapaaa, kua kama unaona maluweluwe, Mara unahisi unaitwa, miguuu kufa ganzi, kuwaka moto n.k


KULA MISOSI, YAAN ULE FOOD MARA KWA MARA ,FOOD INASAWAZISHA MAUDHI YA DAWA.


USIACHE PEP, USIISHIE NJIANI, MALIZA DOZI YAKO.

Nikifikaga mahospital nawaonaga ni watu wa afya ni watu wenye roho ngumu sana aisee, respect kwao kazi ile daah!
 
Hujui eenh...ninyi vijana mliozaliwa enzi za ARV huwa mna dharau sana ngoma...na ndio mmeifanya isambae kama moto kwenye vichaka...
Haki ya nani, angekuwa matured miaka ya 1980s na 1990s, na akawaona wagonjwa wa hii kitu walivyokuwa bila shaka angekuwa na nidhamu mbele ya 'Ngwengwe'.
 
Ukimw mimi naona kama maralia nashangaa watu walivyo nahofu nina dawa ya uhakika ndan ya mwez tu hata ikiwa stage ya mwisho ya aids
 
Back
Top Bottom