- Thread starter
- #41
Mkuu nimekuelewa vizur sana mungu akubariki kwa elimu umeoitoa hapaMkuu dawa nimoja.
Matumizi ndo tofauti.... Kwako wewe imetumika kama PEP.
nawewe ungejikuta Positive, ungezitumia kama wengine.
Mkuu nimekuelewa vizur sana mungu akubariki kwa elimu umeoitoa hapaMkuu dawa nimoja.
Matumizi ndo tofauti.... Kwako wewe imetumika kama PEP.
nawewe ungejikuta Positive, ungezitumia kama wengine.
PooleeNdo hivo nilijichoma kwa bahati mbaya
Mzee unawaza mbususu AKA UteleziNimeoa nna mke swala la tendo la ndoa hapo linakuaje
Kwakweli zinachosha Sana asikwambie mtu kujihisi hovyo hovyoRafiki yangu ni nurse ishawahi kumtokea Hii kama mara mbili alipewa PEP yuko fresh now anasema dawa zilikua zinamchosha tu,,,ila kazi ya nurse Mungu awalinde aisee ni kazi ngumu sana na yakujitolea
haya maisha simple sana ukiyachukulia kawaidaYan haukuchanyikiwa ata kidogo,?? Umeandika kirahisi sana
kwakeli huu UGONJWA kabla ARVsHujui eenh...ninyi vijana mliozaliwa enzi za ARV huwa mna dharau sana ngoma...na ndio mmeifanya isambae kama moto kwenye vichaka...
Ondoa Hofu, uko poa...visa vya ivo vipo vingi huku mahosp .
Siku nyingine ujikamue kwanza hiyo sehem ulojichoma damu ikutoke, kisha nawa kwa maji tiririka.
Kwasasa Meza PEP Sawa sawa na ushauri ulopewa na umwombe Mungu.
Nakutia nguvu, wakati tupo Internship, Rafiki wangu mwanaaa ,amewah jichoma Mara Tano , kwahiyo amekunywa PEP Mara tano, saizi yuko poaaa.
Siku moja Ma Nurse wanazalisha, yule mama alipata mchaniko mdogo mahali ikalazimika ashonwe, Nurse mmoja wakat anashona akajichoma, wazo la kumpima upya Mzazi likaja, walivyopima wakamkuta Positive..... Nurse akaanza PEP.....yuko poaa mpaka Leo.
ALAFU UNAKUTA MTANZANIA MMOJA, KANYWA UJI, ANAKAA KUSHAMBULIA WATUMISHI WA AFYA....
Hizo Dawa maudhi yake sasa, utafurahi na roho... Zinamaaudhi balaaa, usishangae kuchoka Sana, kula Sana,Tumbo kuuma,kuharisha, kuota unapaaa, kua kama unaona maluweluwe, Mara unahisi unaitwa, miguuu kufa ganzi, kuwaka moto n.k
KULA MISOSI, YAAN ULE FOOD MARA KWA MARA ,FOOD INASAWAZISHA MAUDHI YA DAWA.
USIACHE PEP, USIISHIE NJIANI, MALIZA DOZI YAKO.
Haki ya nani, angekuwa matured miaka ya 1980s na 1990s, na akawaona wagonjwa wa hii kitu walivyokuwa bila shaka angekuwa na nidhamu mbele ya 'Ngwengwe'.Hujui eenh...ninyi vijana mliozaliwa enzi za ARV huwa mna dharau sana ngoma...na ndio mmeifanya isambae kama moto kwenye vichaka...
Hujakupata ndo mana😂Sijui kwanini watu wana ogopa ukimwi kiasi hiki
Unafanya lkn kwa kutumia kingaNatakiwa kukaa mda gani bila kufanya