Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Wakuu baada ya kukaa kwa Muda mrefu bila ajira, sasa nimepata sehemu.
Je kwa mshahara huu kwa jinsi nilivyo na usongo nataka kujiongeza Lakini sina Muda mwingi wa kusimamia naplan kumweka dogo.
Nipo private sector hatuna Muda.
Asanteni.
Je kwa mshahara huu kwa jinsi nilivyo na usongo nataka kujiongeza Lakini sina Muda mwingi wa kusimamia naplan kumweka dogo.
Nipo private sector hatuna Muda.
Asanteni.