Nimeanza kujifunza uchawi!!!

Ningependa utujuze ile topic ya - chuma ulete, hasa hasa mbinu zao na jinsi ya kujikinga na '' wachuma ulete''

Chuma ulete ni uchawi wa kitoto sana lakini umewaangamiza na una waangamiza watu wengi sana..Nikipata muda wa kutosha nitafunguka zaidi hapo baadaye!
 
shindwa pepo kwa jina la YESU kristo wa nazareth!

Mkuu wa mapepo, Lucifer alimchukua Yesu akaenda naye mlimani na kumjaribu kwa muda wa siku arobaini. Mkuu wa mapepo aliwahi kuishi mbinguni na Mungu, anamfahamu Mungu kuliko unavyo mfahamu wewe, alifanikiwa kuwashawishi theluthi ya malaika wa mbinguni wakamuasi Mungu, ana uwezo wa kuvuruga mipango ya Mungu, anaongea na Mungu katika namna ya kirafiki zaidi. Unadhani wewe ni bora sana kuliko huyo mkuu wa mapepo?
 
Merlin wa bongo "magic can be used for good"
Good idea fanya mapinduzi ya kielimu.......elimu hii ya mzungu kwa waafrika haifai, lete elimu yetu bwana.
 

Kinga yake ni nini kaka Mchawi? Ukisikia jina la Yesu katikati ya Uchawi athari zake ni nini? Ni mtu wa aina gani ambaye harogeki na ni yupi anayerogeka kirahisi? All the worst kaka mchawi
 

Yote ili????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…