chrstopher
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 251
- 516
dah pole sana mkuu
Mkuu, mimi niliwahi kukataa ku-renew mkataba wa kazi wa mshahara wa 1.2m mwaka 2014 kwa sababu ya figisu katika kampuni ya wachina kisha nikarudi home kwenda kula ugali wa mama.Hapana Infantry Soldier Hana haya mambo maandiko yake tu humu yanampa credit
Asante sana kwa kejeli zako.naona umepata hela ya kulipa kodi ya chumba mkuu....welldone
Kupiga kura tena labda 2025 my dadaMchangie hata laki mbili basi mkuu
Lisu kakosa kura moja tayari
Kichinjio kimeniumaaah kuliko hiyo kilo3.Mpwa kichinjio
Laki tatu unaweka kwa Wallet!? Hiyo ni wallet au handbag!?
Wakuu, mchana huu mida ya saa saba nimeangusha Wallet ikiwa na pesa kiasi cha 300,000/= cash. Daaah, roho imeniuma sana aisee na haya maisha yalivyo magumu siku hizi.
Alafu ni mchango wa rambirambi ya msiba wa ndugu yetu aliyefariki kule Bagamoyo, watu 6 wamechangia ambapo kila mmoja alitoa 50,000/= na mimi nikiwa ni mmoja wao. Nikijiondoa mimi hapo ninabaki na deni la 250,000/=
Huu si ndio mwanzo wa kuonekana tapeli aisee? Wakuu, naombeni msaada wenu wa mawazo nifanyaje ili nirejeshe hizi pesa za watu?
Ninashukuru sana kwa kejeli zako.Rudisha pesa za watu acha janja janja!
Asante mkuu...Pole sana!
Asante sana kwa kunikejeli.Hiyo pesa imeangukia mfukoni kwako, itafute uirudishe
Asante sana mkuu.Pole lakini
Nimejiondoa mimi kwa maana hao wengine 5 waliobaki ni watata kwa maana ni watu wa rika moja na mimi.Sasa unajiondoaje wakati na wewe ni miongoni mwa waliotoa mchango? Utatakiwa kulipa 300,000 siyo 250,000.
Sawa mkuu...Weka namba ya simu wasamaria wema watakuchangia.
Ukarudisha mpira kwa golikipa??Mkuu, mimi niliwahi kukataa ku-renew mkataba wa kazi wa mshahara wa 1.2m mwaka 2014 kwa sababu ya figisu katika kampuni ya wachina kisha nikarudi home kwenda kula ugali wa mama.
Kuna wafanyakazi wenzangu walitaka kuniua. It's a very very long story...Ukarudisha mpira kwa golikipa??
Umetisha...
Asante brother.Pole Sana kwa kupata misiba miwili, Mungu akutie nguvu
Sawa mkuu...Zilizodondoka ni pesa. Rambirambi unajua wewe.. So lipa tu baba hamba namna.
Kwanini unauita kuwa ni uzembe?Pamoja na kukupa pole ila utakuwa ni mzembe wa kiwango cha juu.