Nimeangalia Ramani ya Afrika mashariki, Burundi na Rwanda ni ndugu zetu kabisa

Nimeangalia Ramani ya Afrika mashariki, Burundi na Rwanda ni ndugu zetu kabisa

Umtama Mula

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2021
Posts
230
Reaction score
607
Nilikuwa naangalia Ramani ya Africa mashariki. Nikaangalia kwa makini Ramani ya Tanzania, unyoofu wake na kulinganisha unyoofu huo na Nchi zote zinazotunguka.Ni wazi Rwanda na Burundi ni Ndugu Zetu Kabisa.

Sijui ilikuwaje Mwalimu akawafata Wanzanzibari na kuwaacha hawa ndugu zetu. Hawa wanapaswa kuwa Makaba ndani ya Tanganyika,Wahangaza kwa Kagame na Waha kwa Ndayishimiye. Hawa ni wenzetu, tufanya hima warudi kundini.
 
Ramani ya mkoloni ndiyo inasema hivyo tu.Usichokijua ni kwamba bora hawa wazee wa misuli lakini sio watusi mtajuta milele kuwa nao
 
Umoja wa Afrika ili tuiondoe hizi artificial borders tulizowekewa na Wakoloni.
One Love!
 
Mkuuu kwani Watusi Tanganyika hawapi
Wapo lakini si wasukuma au watusi gani? Kitu usichokijua ukipata sehemu moja ina watusi,wahima,wahaya na wanyankole hiyo sehemu itakuwa ngumu mwingine kutawala labda mkubali kuwaleta pamoja then mtawaliwe
 
Wapo lakini si wasukuma au watusi gani? Kitu usichokijua ukipata sehemu moja ina watusi,wahima,wahaya na wanyankole hiyo sehemu itakuwa ngumu mwingine kutawala labda mkubali kuwaleta pamoja then mtawaliwe
Ngara yote na Kigoma watusi wamejaaa, vipi hakutwaliki?. Kwa ufupi ni kwamba yale makabila mawili makubwa ya Burundi na Rwanda, muuundo wake ndiyo huo huo ngara, kakonko, Kibondo,Kasulu, buhigwe na Kigoma kaskazini!
 
Nilikuwa naangalia Ramani ya Africa mashariki. Nikaangalia kwa makini Ramani ya Tanzania, unyoofu wake na kulinganisha unyoofu huo na Nchi zote zinazotunguka.Ni wazi Rwanda na Burundi ni Ndugu Zetu Kabisa.Sijui ilikuwaje Mwalimu akawafata Wanzanzibari na kuwaacha hawa ndugu zetu.
Hawa wanapaswa kuwa Makaba ndani
yaTanganyika,Wahangaza kwa Kagame na Waha kwa Ndayishimiye. Hawa ni wenzetu, tufanya hima warudi kundini.
weka ramani
 
Ngara yote na Kigoma watusi wamejaaa, vipi hakutwaliki?!
Wapo kiwizi.Usichokijua ngara wengi ni warundi ambao ukimpata mtusi ni mchanganyiko wa wahutu na watusi kama akina Ntibazonkiza ila sio watusi pure.Jamaa yangu watusi ni hatari nyingine hapa duniani(ni wabaguzi,wana dharau,jeuri,wanajua fitna mhaya akasome)
 
Nilikuwa naangalia Ramani ya Africa mashariki. Nikaangalia kwa makini Ramani ya Tanzania, unyoofu wake na kulinganisha unyoofu huo na Nchi zote zinazotunguka.Ni wazi Rwanda na Burundi ni Ndugu Zetu Kabisa.Sijui ilikuwaje Mwalimu akawafata Wanzanzibari na kuwaacha hawa ndugu zetu.
Hawa wanapaswa kuwa Makaba ndani
yaTanganyika,Wahangaza kwa Kagame na Waha kwa Ndayishimiye. Hawa ni wenzetu, tufanya hima warudi kundini.
Wewe ndio umeona leo?
 
Wapo kiwizi.Usichokijua ngara wengi ni warundi ambao ukimpata mtusi ni mchanganyiko wa wahutu na watusi kama akina Ntibazonkiza ila sio watusi pure.Jamaa yangu watusi ni hatari nyingine hapa duniani(ni wabaguzi,wana dharau,jeuri,wanajua fitna mhaya akasome)
Kumbe nabishana na mtu ambaye hajui chochote. Hakunaga kitu cha mchanganyiko wa wahutu wa watusi. Burundi na Rwanda wanajitambulisha kwa makabila matatu, watusi, wahutu na watwa. Ukija Tanzania watu hawa hawa wako combined ndani ya kabila linaitwa Waha Kigoma, ( hasa kwenye sehemu nilizotaja hapo juu) na Wahangaza Ngara.
 
Kumbe nabishana na mtu ambaye hajui chochote. Hakunaga kitu cha mchanganyiko wa wahutu wa watusi. Burundi na Rwanda wanajitambulisha kwa makabila matatu, watusi, wahutu na watwa. Ukija Tanzania watu hawa hawa wako combined ndani ya kabila linaitwa Waha Kigoma, ( hasa kwenye sehemu nilizotaja hapo juu) na Wahangaza Ngara.
Sasa unasema sijui wakati huku ni kwetu we jamaa hujui watusi tulia uliza wanaojua achana na stori.Ngara haina mtusi pure.Watusi wapo maeneo kidogo ya Benako,ukienda kimisi na maeneo kidogo ya karagwe unapata wahima,ukienda Muleba kuna watusi lakini wainaitwa walalo.Hujui kitu tulia siku mkipata kuishi na watusi mtatubu
 
Sasa unasema sijui wakati huku ni kwetu we jamaa hujui watusi tulia uliza wanaojua achana na stori.Ngara haina mtusi pure.Watusi wapo maeneo kidogo ya Benako,ukienda kimisi na maeneo kidogo ya karagwe unapata wahima,ukienda Muleba kuna watusi lakini wainaitwa walalo.Hujui kitu tulia siku mkipata kuishi na watusi mtatubu
Ha ha ha ha ha, we ndiyo haulewi mkuu. Wangaza, ukiwapeleka Burundi automatically utapata wahutu, watusi na watwa, hivyo hivyo Waha hasa wa mpakani.
 
Back
Top Bottom