Nimeamua sasa......

Nimeamua sasa......

Katavi

Platinum Member
Joined
Aug 31, 2009
Posts
42,099
Reaction score
12,919
Kudadadeki mapedeshee wa humu mnatuonea sana sisi wanyonge, kila vimwana wazuri mnao ninyi tu kisa mnamwaga pesa na kuhonga vitz na rava four,,,,,,,,,sasa kabla sijaibuka na kimwana matata humu chit chat nimeamua..............
1381935_173669822822731_2096504244_n.jpg

C.C: Baba V toa taarifa kabisa kwa mapedeshee wote wa humu hasahasa Bishanga, Mwita Maranya (Nammaindi vibaya mno kwa kuniharibia kwa Mamndenyi) tusijekulaumiana baadae............ Erickb52, Arushaone, kiwatengu, Asprin (Babu mpenda totoz) nielekezeni vya moto vinakopatikana.
 
Ha ha haaa
Hiyo bunduki angalia usijipige mwenyewe kama yule shemeji yako.

Hivi unajua makeke ya wana siasa kweli?
 
ukisikia watu wanaanza ku:A S-confused1::A S-confused1: ndo hivi mapema asubuhi hii jamani
acha nipite mie hapa

Kudadadeki mapedeshee wa humu mnatuonea sana sisi wanyonge, kila vimwana wazuri mnao ninyi tu kisa mnamwaga pesa na kuhonga vitz na rava four,,,,,,,,,sasa kabla sijaibuka na kimwana matata humu chit chat nimeamua..............
View attachment 119221

C.C: Baba V toa taarifa kabisa kwa mapedeshee wote wa humu hasahasa Bishanga, Mwita Maranya (Nammaindi vibaya mno kwa kuniharibia kwa Mamndenyi) tusijekulaumiana baadae............ Erickb52, Arushaone, kiwatengu, Asprin (Babu mpenda totoz) nielekezeni vya moto vinakopatikana.
 
Ha ha haaa
Hiyo bunduki angalia usijipige mwenyewe kama yule shemeji yako.

Hivi unajua makeke ya wana siasa kweli?
Nikishainunua nitapata mafunzo kwanza kutoka kwa wataalamu wa kutumia hizo silaha, then ndio naibuka na kimwana. Sasa hao mapedeshee waanze mbwembwe zao watakiona,,,,
 
ukisikia watu wanaanza ku:A S-confused1::A S-confused1: ndo hivi mapema asubuhi hii jamani
acha nipite mie hapa
Nipo kamili kiakili bibie,,,,,,,ni hali tu ya kuvurugwa humu ndani.
 
nahisi harufu ya matumizi haramu ya silaha za moto
 
Katavi yaani mbinu zoote umeshindwa mpaka unaenda kushika cha moto
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom