Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Pamoja kama TP Mazembe siyo?
wamesahau baelezeeee!!!!
Pamoja kama TP Mazembe siyo?
Utaifa mbele.
Hahahaha! Yanga midebwedo! Yanga si ya Tanzania bana. Yanga ni ya Jangwani!Hapa inacheza Yanga sio Taifa Stars. Yanga wanadai eti watawazuia wale wote watakao vaa jezi za Zamalek kesho. Simba ilipocheza na TP Mazembe, Wanayanga walivaa jezi za Mazembe. Hatukumzia mtu. Mturuhusu na sie tuone mnavyochapwa.
Mi ambia wao ile kitu ya ukwee....wamesahau baelezeeee!!!!
Hahahaha! Yanga midebwedo! Yanga si ya Tanzania bana. Yanga ni ya Jangwani!
Mi ambia wao ile kitu ya ukwee....
Kamata Yanga Tupa kule, Chukua Zamalek weka hapa!wakipigwa shangwe kama kawa!!!! haihuuuuu
Utakuwa umechanganyikiwa hakuna urafiki wa simba na Yanga....kumbuka wao walivyo nunua jezi na TP Mazembe na kuwashangilia kwa nguvu zote leo simba tuwaunge mkono big NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO........na kesho lazima wachapweKesho ndio game ya Caf Champions League kati ya watani na Zamalek hapo uwanja mkubwa wa Taifa. Nimeamua kwenda kinyume na mazoea ya kawaida, kwamba mtani akicheza hata na pipa, sisii tushabikie pipa. Nafuata mkondo mwingine kabisa... Sisi wapenzi na wanachama wa Simba hatujawahi kukubaliana katika kikao chochote rasmi kuwa popote itakapocheza Yanga, basi sisi tushabikie wapinzani wao hivyo kwa kuongozwa na utashi binafsi, nimeamua kuiunga mkono Yanga hiyo kesho. Tayari nimeshanunua jezi ya rangi ya manjano pamoja na skafu yake, na tiketi ya jukwaa la buluu ninayo. Mnaounga mkono maamuzi yangu mnakaribishwa. View attachment 47573Yanga African Sports ClubView attachment 47572
Mama mdogo niambie wewe unashabikia timu gani? au uko AFC ya Arusha iliyoshushwa daraja jana baada ya kushindwa kupeleka timu uwanjani....wamesahau baelezeeee!!!!
Bado uko Picnic tuuuuuu hahahahahahahahahaha...............Kamata Yanga Tupa kule, Chukua Zamalek weka hapa! Tupa Yanga kule! Tupilia mbali! Kamata Valeur Tupa kule kamata Tusker Malt Weka hapa! Picnic pa ukweee...
Er?.......... :juggle::A S-coffee:hoto:Bado uko Picnic tuuuuuu hahahahahahahahahaha...............
hata sijakusoma.....................Er?.......... :juggle::A S-coffee:hoto:
daaa ndo maaana nchi hii haiendelei hatuna uzalendo!wakipigwa shangwe kama kawa!!!! haihuuuuu
Kamata Yanga Tupa kule, Chukua Zamalek weka hapa!
Tupa Yanga kule! Tupilia mbali!
Kamata Valeur Tupa kule kamata Tusker Malt Weka hapa!
Picnic pa ukweee...
daaa ndo maaana nchi hii haiendelei hatuna uzalendo!
Mama mdogo niambie wewe unashabikia timu gani? au uko AFC ya Arusha iliyoshushwa daraja jana baada ya kushindwa kupeleka timu uwanjani....
Vaa ya Yanga tu, ila ile ya Zamalek uikunje na kuiweka mfukoni. Likifika bao la tatu vua ya Yanga uvae ya mwarabu