Arusha hakuna mzunguko wa fedha???????
Duh...kwa Arusha sijui utaanzia wapi mkuu....ule mji sio wa kukimbilia...hakuna mzunguko wa hela kabisa... hakikisha usitumie akiba yote..bakiza nauli ya kuondoka.....ingekua mimi ningekushauri nenda mwanza,mbeya au mtwara..uta make pande zile.
Arusha Mmmmhhh.
Exactly nami namshauri aje Mwanza, kwa kawaida Mwanza huwa haimtupi mtu. Atatusua tu cha msingi ni kujituma na kutokata tamaa pia aone namna ya kujiajiri na si kutegemea kuajiriwa tu
Yes huo ndo ukweli...wanaoishi arusha na kufanya mambo ya maendeleo wako kwenye makundi mawili
1. wazawa wenye jinsi nyingine ndogondogo za kujipatia kipato au kurahisisha matumizi
2. waajiriwa,kama ni wenyeji..basi wawe wameajiriwa na wana mshahara standard kidogo...kama ni mgeni basi awe ameitwa kwenye ajira kabisa..au kahamishwa kikazi...
kubali kataa...Arusha sio kama Dar/Mwanza ambako mtu unaweza kwenda humjui mtu na ukatoka kiuchumi.
If YoU dOnT makE iT iN dAresSalAaM YouWoNt makE it In RcHugAaa. NendaMkoA mWinGine ila Sio cHuGaaa AriFuuuu
Duh...kwa Arusha sijui utaanzia wapi mkuu....ule mji sio wa kukimbilia...hakuna mzunguko wa hela kabisa... hakikisha usitumie akiba yote..bakiza nauli ya kuondoka.....ingekua mimi ningekushauri nenda mwanza,mbeya au mtwara..uta make pande zile.
Arusha Mmmmhhh.
nipe namba yako mkuu labda tuko in the same boot.Baada ya kukosa kazi ya kuniingizia kipato kwa hapa Dsm na baada ya kupewa ahadi ya kusaidiwa namna ya kujikwamua kimaisha kuwa isiyotimilika
Nimeamua kulikimbia Jiji la Dsm na kwenda Arusha.
Huko simjui mtu,sina ndugu wala mjomba. Naenda kupambana na hali yake. Labda kuishi Dar mda mrefu naona hakuna fursa kwangu tena! Lakini pia kuna labda kazi ambazo kwa hapa Dar zinaonekana siyo ila kwa Arusha na nje ya Dar zinaweza kuonekana ndiyo za maana! Vyote hivyo naviona akilini mwangu
Kama nimepotea,potelea mbali! Ila namwomba Mungu anitangulie katika hili. Maisha ni magumu saana!
Wakazi wa Arusha,na viunga vyake,tengeru,moshono,kia,na Mererani nawaomba mnipokee aisee!! Nimekuja arusha kutafuta maisha. Ni hayo tu!
Baada ya kukosa kazi ya kuniingizia kipato kwa hapa Dsm na baada ya kupewa ahadi ya kusaidiwa namna ya kujikwamua kimaisha kuwa isiyotimilika
Nimeamua kulikimbia Jiji la Dsm na kwenda Arusha.
Huko simjui mtu,sina ndugu wala mjomba. Naenda kupambana na hali yake. Labda kuishi Dar mda mrefu naona hakuna fursa kwangu tena! Lakini pia kuna labda kazi ambazo kwa hapa Dar zinaonekana siyo ila kwa Arusha na nje ya Dar zinaweza kuonekana ndiyo za maana! Vyote hivyo naviona akilini mwangu
Kama nimepotea,potelea mbali! Ila namwomba Mungu anitangulie katika hili. Maisha ni magumu saana!
Wakazi wa Arusha,na viunga vyake,tengeru,moshono,kia,na Mererani nawaomba mnipokee aisee!! Nimekuja arusha kutafuta maisha. Ni hayo tu!