Antony Abel
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 264
- 142
A,alykum, bwana yesu asifiwe.
Natumain muwazima buheri wa afya!
Jina langu kama linavo jieleza, umri wangu ni miaka 20 naishi MOROGORO m/spaa&wilaya ya mvomero.
Hivo sio vibaya kama tutatambulishana umri na mahali tulipo.
Maana hii ya kuitana mkuu unaweza kumuita mwanao.
Ushirikiano wenu wana JF ni muhimu sana.
AKSANTEN.
Natumain muwazima buheri wa afya!
Jina langu kama linavo jieleza, umri wangu ni miaka 20 naishi MOROGORO m/spaa&wilaya ya mvomero.
Hivo sio vibaya kama tutatambulishana umri na mahali tulipo.
Maana hii ya kuitana mkuu unaweza kumuita mwanao.
Ushirikiano wenu wana JF ni muhimu sana.
AKSANTEN.