Nimeamua kuvunja ukimya

Sijaongelea kuhusu wokovu bali ile hali ya mtu kutoka mbele ya hadhira na kujitapa/ kujisifia juu ya ukamilifu. Hili sio jambo jema kwani watu wa aina hiyo hutumia njia hiyo kuficha uovu. Kumbuka Petro alimwambia Yesu, "Bwana mimi nipo tayari kwenda na wewe gerezani , hata kufa." Lakini ni yeye ndie aliyemkana. Historia ni mwalimu mzuri kwa kila mmoja wetu. Ndio maana Mungu kupitia maandiko yake anatuasa kadri anavyotuinua tunapaswa kuzidi kuwa wanyenyekevu.( Yoshua bin Sira 3:17-18).
 

Ila tukiacha utani na mizaha. If you really want a bright Christian future with your girlfriend basi itabidi muishi mahusiano yenu kikristu, mvunje (kwa maombi) vifungo vyenu vya nafsi mlivyojifunga kwenye mahusiano yaliyoyapita, ambayo ni pamoja na kudenounce maneno na ahadi mlizokuwa mnafanya katikati ya mahaba words like "...mimi na wewe kitakachotutenganisha ni kifo tu..." na vitu kama hivyo.
Maana (in Pinda's voice) hakuna namna nyingine.
Mahusiano mkiwa na Yesu ni matamu kuliko chochote. I have been in both ways so I can compare
 

Tunajua kwamba sisi ni wake Mungu ingawa ulimwengu wote unatawaliwa na yule Mwovu 1Yohana 5:19
Pia - ili tusimpe nafasi Shetani atudanganye; maana twaijua mipango yake ilivyo 2Wakorintho 2:11

Sijui kwanini haka kajamaa kana kashfa nyingi hivi na bado wanadamu katuteka akili zetu

IIWakoritho 11:3 Anaitwa Nyoka Lakini naogopa kwamba, kama vile yule nyoka kwa hila zake za uongo alimdanganya Hawa, fikira za watu humu zaweza kupotoshwa, mkauacha uaminifu wenu wa kweli kwa Kristo!

Katika kashfa ya pili Shetani anaitwa Abaddon (Kiebrania) Apollyon (Kigiriki) ikimaanisha mharibifu ufunuo 9:11

Aidha pia anaitwa Mshitaki wa ndugu zetu (Accuser of the brethren), Ufunuo 12:10.

Anaitwa Malaika wa kuzimu, (Angel of the bottomless pit) Ufunuo 9:11

Kubwa kuliko anaitwa Mungu wa dunia hii II Wakorintho 4:4 ; Hao hawaamini kwa sababu yule mungu wa ulimwengu huu amezitia giza akili zao wasipate kuuona wazi mwanga wa Habari Njema ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano kamili wa Mungu.
 

Nafikiri nakupata unachomaanisha, lkn pia nampata aliyeleta ushuhuda.
Sijaona majivuno yake saana, na nimeona pia kujihisi kwako kwa kiwango fulani.
Ni heri kumkiri Kristu mbele za watu, lkn mleta mada ameonesha pia ametegemea juhudi zake binafsi (kufunga, kuomba, kuamka usiku etc) na kusahau kaweza yote hayo kwa neema. Lkn kwa upande mwingine ukristu sio laini kama wengi wetu tungependa uwe, kujitesa na kuumia kupo lkn tunaweza yote hayo ktk yeye atutiae nguvu.
So my dear usifeel unyonge endelea kumtumaini huyo Yesu na atatufikisha tunapokaswa kufika. Maana ndio ahadi zake, let's hold him accountable for His Word maana alisema mbingu na nchi zitapita ila Neno lake halitapita
 
Ndugu yangu Mungu alie Mbinguni akubariki sana kwa kujua siri hii iliyofichwa kwa wengi.
 

Wagalatia 5:16-25 imekaa vizuri sana!
 
Kwanza nikupe hongera sana kwa hayo ambayo Yesu Kristo Mungu mkuu aliyokutendea ....

Lakini yote hayo hayatakuwa na maana yoyote kama roho yako itapotea

Lengo la Yesu kuja hapa duniani halikuwa kutusaidia kuyarahisisha maisha ya hapa duniani ila tu tupate nafasi katika ufalme wake,haya mengine ni kama viuonjo tu ili kukufanya umuamini....

Kakufanyia hayo sio ili maisha yako yawe mepesi bali uuone ukuu wake na ubadilike na kuanza kutenda sawasawa na anavyokutaka ili ukafikie ufalme wake ........!!
 
Ni kweli kabisa kuna raha ndani ya Yesu, by his own hand he leadeth me. Jesus leadeth me......
 

feelings are inevitable
 

Msongo unatupeleka pabaya sana....
 

MUNGU akubariki sana kwa ujasiri wako na kuwa muwazi.
 

Mbona mimi siendi kanisani wala msikitini lakn niko ya hivyo ulivyojitapa kupewa na huyo Yesu,...sema uko na msongo wa mawazo tu.
 

Sawa mkuu ni vyema, umepewa macho na masikio ya kuona na kusikia matendo na habari za za Yesu, hivyo simama ktk nafasi yako wewe kama wewe na Mungu akupiganie.
 
Mbona mimi siendi kanisani wala msikitini lakn niko ya hivyo ulivyojitapa kupewa na huyo Yesu,...sema uko na msongo wa mawazo tu.

Ohh! asante, heri wewe usiye na msongo na Mungu akubariki milele.
 
SIjasema kumpenda Yesu ni kuwa na msongo, ila maelezo ya mwandishi yanaonyesha hivyo.

Na sijasema silent killer or free P ni kuwa cool.

Duh, kumpenda Yesu ni kuwa na msongo? Ila kuwa silent killer sijui na free P is being cool eeh?
 
I feel ya, peace man:becky:, but haindoshi statement yangu ya awali.

Msongo utakuja kuwa mzuri sana pale siku Al-shabaab wamekuwekea panga shingoni ili umkane Yesu na ukristo, na hapo utamkana ili msongo uzidi kuwa mzuri zaidi.
 
I bet, waamini wachache sana wanajua hili, kiwango cha cha uamini kimefikia ukomavu wa juu sana.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…