Nimeamua kuvunja ukimya


HALELUUUYA, nimefurahi sana kwa ushuhuda huu Mpendwa. Kwa kweli YESU ndiye Bwana na Mwokozi wa maisha ya wote tunaomkiri kwa vinywa vyetu na kumwamini kwa mioyo yetu.
 
Horse nina maombi maalumu ya binafsi ndani ya mwezi huu, naanza tarehe moja I will mention you evrday

Thanks indeed! Mithali 18:22 Apataye mke apata kitu chema ;naye ajipatia kibali kwa Bwana. Kwa hiyo mtumishi please! moyo wangu sio mgumu kihivyo avatar yangu isikutishe!
 
Excellent answer! God bless you.
 
Thanks indeed! Mithali 18:22 Apataye mke apata kitu chema ;naye ajipatia kibali kwa Bwana. Kwa hiyo mtumishi please! moyo wangu sio mgumu kihivyo avatar yangu isikutishe!
Ila angalia, mvumilivu ndio hula mbivu. Waweza chelewesha muujiza wako kama Abraham alivyochelewesha kwa kuzini na mjakazi kwanza.
Leave all to God and as sure as his WORD atatenda
 
Wanasema unavyoomba Mungu anafanya vitu 2
1. Kushughulikia ombi lako, lkn pia
2. Kushughulika na wewe.
So kwenye shida ni kushughulika na wewe, maana kutokana na kufuata njia zetu mara nyingi tunachelewesha kujibiwa maombi yetu.
Maana ni lazima ahakikishe kuwa tukipata hicho tunachokiomba
1. Hatutajidhuru nacho
2. Hatutamsahau yeye na kukitukuza hicho
3. Hatutajikweza na kudharau wengine
4. Kwamba kitakuwa kwa ustawi wa wengi
 
JF bana raha sana, kila kitu kimo...........
Leo naona mmeamua kututwanga mneno, ila safi sana!
 

Asante sana kwa kuongezea mtumishi, Isaya 41:21, Inasema "Haya leteni maneno yenu, asema Bwana, toeni hoja zenu zenye nguvu, asema Mfalme wa Yakojo" tunapaswa kuleta hoja zenye nguvu kwa Bwana sawasawa na maneno yako hapo juu.
 
JF bana raha sana, kila kitu kimo...........
Leo naona mmeamua kututwanga mneno, ila safi sana!

Hahahah naona na wewe umeamua kuwa mpole maana malumbano na kutwangwa verses vingekutoa knock out
 
Ila angalia, mvumilivu ndio hula mbivu. Waweza chelewesha muujiza wako kama Abraham alivyochelewesha kwa kuzini na mjakazi kwanza.
Leave all to God and as sure as his WORD atatenda

Hapa sijui niseme Amen ama niseme shindwa!
 
Hapa sijui niseme Amen ama niseme shindwa!

Hahahah,sema Amen to the word of God halafu mwambie shindwa huyo shetani anayekuja na logic argument za "utauziwaje mbuzi kwenye gunia bwana, kulaneni ili mjue what you are getting into".
Kama vile Yesu alivyomwambia 'Petro' "ondoka kwangu Shetani..." pale Petro aliposema over his dead body kwamba Yesu angesulubiwa na kufa msalabani
 
Hahahah naona na wewe umeamua kuwa mpole maana malumbano na kutwangwa verses vingekutoa knock out

Umeona eeh!!! we mjanja umenisoma vizuri kumbeee!!!
 
Amen..... kumbuka shetani hapendi kuona Yesu akitukuzwa so jipange usirudi nyuma, omba sana maana umetangaza vita na shetani,, , ,, Kwa mkono wa Bwana hakika utashinda.
 
Umeona eeh!!! we mjanja umenisoma vizuri kumbeee!!!

Njoo emaus kuna mnijeria mmoja anatupa makavu live hadi unakasirika halafu mwisho unabaki na "lakini kweli" expression
 


Ila biblia bana ina makavu si mchezo embu cheki hapa
[h=1]Yohana 8:44[/h]''Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanga nya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo''
 

Yaani bila ya neema ya msaada kumshinda shetani ni next to impossible. Halafu anatumia logic na anashawishi kweli kweli, but we shouldn't give up the fight.
Na talking of the fight we need to know who is our real enemy ili tuwe na silaha sahihi.
Paulo alifafanua vizuri alipowaandikia waefeso. Efeso sura ya 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…