Asante lakini aliyeweka Figo moja sio punguani...na pengine hujui vema tafsiri ya ulemavuusipotoshe mkuu kutoa figo sio ulemavu ataishi kawaida tu kama mwenye figo mbili.
Watafungwa wengiMkuu siku hizi mdeni hufungwa kwa kipengere cha anayekudai anakulipia magereza
Ungekuwa unajua nini maana ya normal usingeuliza.kutokuwa na figo moja ni kutokuwa normal
Nitamlipaje nikiwa gerezani?Mkuu siku hizi mdeni hufungwa kwa kipengere cha anayekudai anakulipia magereza
Usimdanganye. Mungu alipotuumba na figo mbili usidhani kuwa alikuwa mjinga. Ukiwa na figo moja den ikafail utafanyaje?usipotoshe mkuu kutoa figo sio ulemavu ataishi kawaida tu kama mwenye figo mbili.
Mwambie hapahapaTafuta laki sita nikufundishe kutafuta hela zaid ndani ya mwaka nakuhakikishia utakuwa milionea.. Ni pm mkuu.. Na unavosema million 30 ni fix tu unatushika maskio.ni pm km uko serious kufanya biashara nikupe Michongo fasta
Uza tu ulipe deni,si ulikopa?kimfaacho mtu chakeNdg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo
Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30
Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Kimfaacho mtu, chake.
Kimfaacho mtu chake
Haya maneno haya yameleta uharibifu na hasara kubwa kwenye jamii zetuMwili ni wako mkuu hatuna mamlaka.
Ndg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo
Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30
Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???