Nimeamua kuuza figo yangu moja ya kulia ili kulipa deni la loan board

Ndg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo

Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30

Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Umesoma arts alafu unajiita differential equations??? Mbona unadhalilisha hesabu wewe kijana??
 
Deni halimfungi Mtu!. Tanzania kama Taifa tunadaiwa baada ya mikopo mbalimbali tuliyokopa. Serekali na yenyewe ina madeni ya ndani ya kutosha. Inadaiwa na Taasisi mbalimbali. So usiuze Figo yako kwa sababu eti ya kudaiwa na BODI YA MIKOPO. Tafuta pesa kwa utaratibu utakaona auhatarishi maisha yako. KUDAIWA NA BODI YA MIKOPO SIO MWISHO WA DUNIA
 
Leo unataka kuuza Figo ili ulipe deni,ukishalipa hilo deni una uhakika gani wa kutokua na deni lolote tena katika maisha yako? Ukija kupata deni tena utauza kiungo kingine? Acha kucheza na Afya kijana,

Hata hivyo hii story yako ni kama ya kutunga tu na haupo serious.
 
Ndg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo

Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30

Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Heri kufa macho, kuliko kufa moyo......
 
Ndg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo

Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30

Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Acha uongo hakuna kozi ya arts inayofikisha garama za mil. 15 ktk vyuo vyetu hapa nchini, labda kama kuna mkopo binafsi ulioomba au ulisoma nje ya nchi
 
Ndg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo

Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30

Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Uza tu maana kama ulimaliza chuo na hayo ndo mawazo yako..basi tenah..
 
Tafuta laki sita nikufundishe kutafuta hela zaid ndani ya mwaka nakuhakikishia utakuwa milionea.. Ni pm mkuu.. Na unavosema million 30 ni fix tu unatushika maskio.ni pm km uko serious kufanya biashara nikupe Michongo fasta
mkuu na mimi nipe hiyo michongo
 
Ndg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo

Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30

Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Ukishauza lipa hilo deni la 15m halafu nipm nikuelekeze pa kuwekeza hizo 15m zitakazobaki
 
Ndg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo

Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30

Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Ukianza kuuza laini yako ya tigo ni pm
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom