Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma arts alafu unajiita differential equations??? Mbona unadhalilisha hesabu wewe kijana??Ndg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo
Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30
Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Mkuu siku hizi mdeni hufungwa kwa kipengere cha anayekudai anakulipia magerezaUsijitie ulemavu katika umri huo mdogo tangu lini umeona mdeni kafungwa?
Heri kufa macho, kuliko kufa moyo......Ndg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo
Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30
Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Acha uongo hakuna kozi ya arts inayofikisha garama za mil. 15 ktk vyuo vyetu hapa nchini, labda kama kuna mkopo binafsi ulioomba au ulisoma nje ya nchiNdg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo
Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30
Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Uza tu maana kama ulimaliza chuo na hayo ndo mawazo yako..basi tenah..Ndg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo
Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30
Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
mkuu na mimi nipe hiyo michongoTafuta laki sita nikufundishe kutafuta hela zaid ndani ya mwaka nakuhakikishia utakuwa milionea.. Ni pm mkuu.. Na unavosema million 30 ni fix tu unatushika maskio.ni pm km uko serious kufanya biashara nikupe Michongo fasta
Ukishauza lipa hilo deni la 15m halafu nipm nikuelekeze pa kuwekeza hizo 15m zitakazobakiNdg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo
Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30
Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???
Ukianza kuuza laini yako ya tigo ni pmNdg zangu habari zenu, mm mhitimu wa chuo kikuu niliyesoma masomo ya arts na kuambiwa sitopewa ajira huku nikidaiwa pesa na loan board zipatazo milioni 15 nimeamua kuuza figo yangu ya kulia ili nilipe deni hilo
Figo hiyo nimepata mteja anataka kunipa milioni 30
Ushauri wenu ndg zangu vipi niuze hiyo figo ili nilipe deni???