Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
Natoa huduma ya Kukufungia Greenhouse ya bei nafuu kabisa. 8m by 18m with complete Drip irrigation system & 1000lt Tank plus Free Extension Service for 3month kwa TSHS.3,200,000/- ONLY. just call 0772668500
Green house inakuwaje inafanya kazi vip, inaandaliwaje , inakuwa na vitu gan, je unaweza panda nini na mavuno yake yanakuwaje, hela yake atapata baada ya muda gani na inakuwa kwenye ukubwa gani?
Naona hivyo ndiyo vitu ulivyotakiwa kuleta hapa ili tukutafute baada ya kusoma na kuvutiwa