Nzi na Nyuki hufa kwa kulazimisha kupenya kwenye kioo angavu.
Ndivyo watakavyo angamia wasomi, wafanyakazi na wakulima wanaolazimisha kutimiza ndoto zao kupitia ccm.
Sasa tuko kwenye kampeni maalam dhidi ya ccm 2015, waliingia kwa mbinu na watatoka kwa mbinu, watenda hutendwa
KARIBU SANA KWA PAMOJA TUISAPORT CHADEMA, Tanzania bila ccm inawezekana!
Wape ujumbe huu wenzako na waale wote waliochoshwa na ccm hasa;
WAKULIMA, WALIMU, NMB, TRL, WAZEE WA EAC na WANAFUNZI VYUONI.
MUNGU IBARIKI CHADEMA NA WANACHAMA WAKE.