Nimeamua kujiunga na jeshi la m4c

Nimeamua kujiunga na jeshi la m4c

Mkuu mwenzetu wewe mchaga wa wap?Kwanza tunataka kukufahamu km wa KIBOSHO MACHAME AU MARANGU NK.
 
Sijawahi kujisikia ukiingia jeshi la ukombozi inabidi ulipe vinginevyo kina Garang na Savimbi wasingekuwa na askari; mtaliwa sana safari hii.

Chama
Gongo la mboto DSM
Lazima ulipie ili uoneshe kweli uamuzi wako umetoka moyoni. Ukiingia bure hutaweza kuwajibika ipasavyo
 
full maelezo. thanx mkuu. huyu kamanda nina uhakika kayapata vizuri. saafi sana.

Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waliondoe madarakani hili li serikali la ccm magamba/mafisadi/majambazi/wauaji.

Tuko pamoja Kamanda. Ama zetu ama zao!
 
Njoo sinza kijiweni Opposite na sheli inayopakana na BOA (Bank of Africa). Fuata barabara ndogo inayopita katikati ya maduka. Ofisi ya kata iko hatua 30 hivi toka barabarani. Kuna bendera kubwa na viongozi wapo muda wote!.. Pia utawakuta mafundi wanashona kombati nzuri bei ikiwa 50,000 -70,000 kulingana na ubora wa kitambaa. Kadi zetu ni sh. 1500/= (kiingilio -500 na ada ya mwaka mmoja 1000). Passport size moja ni muhimu sana. Unaweza kulipa ada hata ya miaka sita mpaka 15. Kama una kadi au Tshirt za magamba au bi mkubwa uje nazo!.. KARIBU SANA TUMNG'OE NDULI!....

Ahsante sana mkuu, hapo Sinza ndiyo penyewe, unajua lazima tutmike kwenye grassroot. Makamanda nitegemeeni hapo wakati wowote, nimedhamiria kiukweli na sina mchezo mpaka kieleweke.
 
Mkuu mwenzetu wewe mchaga wa wap?Kwanza tunataka kukufahamu km wa KIBOSHO MACHAME AU MARANGU NK.

Mimi ni Mhehe original kabisa, najali Tanzania yetu na si kabila. Nadhani wewe utakuwa na shida fulani kichwani ama umagwanda umekuathiri sana, kuzungumzia ukabila katila zama hizi?
 
Mimi ni Mhehe original kabisa, najali Tanzania yetu na si kabila. Nadhani wewe utakuwa na shida fulani kichwani ama umagwanda umekuathiri sana, kuzungumzia ukabila katila zama hizi?

Point of correction: Umagamba inaonekana umekuathiri sana kiasi cha kupiga hiyo single ya ukabila.
 
Wafuatao ni WACHAGA:
Tundu Lissu-Mchaga wa Singida Mashariki.
John Mnyika-Mchaga wa Ubungo.
Peter Msigwa-Mchaga wa Iringa.
Joseph Mbilinyi-Mchaga wa Mbeya.
Kashindye-Mchaga wa Igunga.
Masumbuko Paul-Mchaga wa Songea.
ZZK-Mchaga wa Kigoma.
Nyerere-Mchaga wa Musoma.
Wenje-Mchaga wa Rock
ha...ha...ha...!!!
Kumbe CCM imepiga marufuku jina TANGANYIKA; jina ambalo ni la taifa hili tangu kuzaliwa na sasa wanatuhadaa wa-TANGANYIKA kuwa ni WACHAGA. Jina la kabila ndilo linakuwa jina la TAIFA??? Nitaongoza maandamano ya kudai matumizi ya neno TANGANYIKA.
CCM ni wakabila. Wako nyuma ya mpango wa kubadilisha jina kutoka TANGANYIKA hadi WACHAGA. Ole wenu mtupeleke kwenye machafuko sababu ya uroho wenu.

Mkuu mwenzetu wewe mchaga wa wap?Kwanza tunataka kukufahamu km wa KIBOSHO MACHAME AU MARANGU NK.
 
hii kali kijiunga na jeshi la ukombozi mpaka ulipe?

Chama
gongo la mboto dsm

chama habari. Membership card 1000, ada mwaka 1000. Combati na buti ni hiyari ya mwanachama. Karibu chadema rafiki. Time is now.
 
Nimechoka kuwa mpiga debe wa M4C sasa nataka nijiunge na jeshi la M4C (CDM). Ninaishi Kijitonyama, Je ufisi za karibu za CDM ziko wapi, nahitaji kuchukua kadi yangu rasmi. Na natoa wito kwa wengine wote wapiga debe sasa tufanye kwa vitendo zaidi. NAOMBA WADAU MNIFAHAMISHE OFISI YA CDM ILIYO KARIBU NA KIJITONYAMA.

MUNGU IBARIKI TANZANIA


nenda kinondoni karibu na togo tower
 
CCM hawana la maana la kuongea, ndio maana wanatia ndimu na pilipili za udini na ukabila ambazo tayari zinaliza sana tu. Halafu kana kwamba haitoshi, wameamua kuoneshana mitutu ya bastola kabisa...Hii CCM dhaifu nayo ni janga la Taifa.

M4C Daima
 
Umechagua lililo jema. Ni sawa na kumkataa shetani na kumrudia mola wako.
 
chama habari. Membership card 1000, ada mwaka 1000. Combati na buti ni hiyari ya mwanachama. Karibu chadema rafiki. Time is now.

Ahaaa haaaa jeshi la ukombozi wengine wanavaa khaki la Tommy Hilfiger, Sean John na Roca wear makabwela wavalishwe khaki la urafiki; mnapigania ukombozi au mnawapiganie wale zaidi?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Am not a politician but i doubt if CDM can lead this nation wisely.................Most of them,they dont have families........so how can u manage to lead a nation while you fail to handle your own family................Jamaa wabadilike waache siasa za kuongelea chama bali waongelee jinsi ya kuikomboa jamii inayoteseka majimboni mwao..........Mfano mdogo Mh. Mnyika kiukweli hakuna lolote ambalo kafanya Ubungo.yy ndio mb wangu na suala kubwa ambalo tumemuweka jimboni ameshindwa..............The same to Halima Mdee,she has done nothing to Kawe residents................Kiukweli mnaojiita makamanda mnabidi mjipange sana na muache kufuata mikumbo.............

Jamaa watatuuza...........kuweni makini sana.........wanatumiwa na watu wenye permanrnt interest na misaada yao wanayotoa............

Makamanda jipangeni.................Ni hayo tu wadau..............
 
Back
Top Bottom