Nimeamua kujiunga na CHADEMA

Nimeamua kujiunga na CHADEMA

Haya weeeee ! Mbona ulipoteza muda wako siku zote ? Hata hivyo karibu sana ila utambue kwamba huku tunajitolea , hakuna 7000 wala vyeo vya magumashi , kuna kijana anaitwa Betlehem alikuja mikono nyuma lakini baada ya kushindwa kupata alichotaka aliondoka bila kuaga , hata wewe tutakuchunguza.
 
Huko hakuna kanga, wala malori ya kusomba watu, ni kazi tu kwa kwenda mbele!
 
uamuzi wa busara karibu kwenye ukombozi CHADEMA kwa pamoja tutaijenga nchi yetu .UKAWA NI SUMU YA KUISAMBARATISHA SEREKALI YA CCM MADARAKANI 2015
 
kama huna uwezo wa kunywa viroba vya konyagi bado uwezi kua mwanachama pia kwa kukusaidia uwe na sifa ya kujua cheza muzik na kuzikabili santuri za dj mbowe
Hizo ni sifa za kuwa mwanachama wa chama cha wapuuzi ccm
 
Poooowwweeeeerrrrrr 😛eace: Karibu sana...kuanzia sasa jina lako ni kamanda...karibu kamanda..mimi mwenyewe ni kamanda wa chadema najivunia chama changu na nchi yangu...bila kusahau umoja wetu wa UKAWA! !!!
 
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!
Hongera ndugu hila ungesubiri kwanza ujue kama huko uliko watakuwepo baada ya kugawana majimbo uenda ukaangukia upande wa NCCR au CUF. Sasa sijui utaitetea vipi katiba ya CDM chini ya uongozi wa NCCR au CUF maana kuna kupeana vipa umbele kwa wenye chances kubwa demographically.

I hope uishi Mtwara kule ni CUF tu kwa UKAWA.
 
kaza nako lako la kulia kaza jisuli hapa hatutak mlegev wa mwil wala akili mana watu wa aina hi wak kwa kichaa nauye.
 
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!

mbona ulikuwa huko kitambo sana
 
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!

Ukifukuzwa usisahau kutujulisha pia kamanda.
 
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!
Karibu sana.
 
Back
Top Bottom