JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 220
Karibu sana Kamanda, kila la heri ktk mapambano dhidi ya uhuni wa CCM.
Wewe ni kiraracha,kirua vunjo, kiborironi au kishimundu?
Karibu sana kamanda, umefanya Maamuzi ya busara
Uamuzi wa busara sana...Hongera sana..
Hizo ni sifa za kuwa mwanachama wa chama cha wapuuzi ccmkama huna uwezo wa kunywa viroba vya konyagi bado uwezi kua mwanachama pia kwa kukusaidia uwe na sifa ya kujua cheza muzik na kuzikabili santuri za dj mbowe
bora mlemavu wa kiungo kuliko mlemavu wa akili kama ww ulitaka aje kwa wapuuzi wenzako ccmUmeingia choo cha kike
Umeingia choo cha kike
Hongera ndugu hila ungesubiri kwanza ujue kama huko uliko watakuwepo baada ya kugawana majimbo uenda ukaangukia upande wa NCCR au CUF. Sasa sijui utaitetea vipi katiba ya CDM chini ya uongozi wa NCCR au CUF maana kuna kupeana vipa umbele kwa wenye chances kubwa demographically.Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!
Neither of the above.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!
Karibu sana.Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!