Wewe ni kiraracha,kirua vunjo, kiborironi au kishimundu?
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!
Poooowwwweeeeerrrrrrrrrrrrrr 😛eace:
kama huna uwezo wa kunywa viroba vya konyagi bado uwezi kua mwanachama pia kwa kukusaidia uwe na sifa ya kujua cheza muzik na kuzikabili santuri za dj mbowe
Khaa!! Mbona hujatoa sababu ya maana?? Umelinganisha vipi na vyama vingine?? Kumbe bado sana wewe :cool2:Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!
hulali?
mimi wa mwanza nipo chadema toka tulipo lishwa karanga na coca cola pale kwenye kampeni za biondo .mwaka 2005 ilinifumbua na kuacha kwenda kupiga kwata eti scout. wa chama Da!kweli tulikuwa mazuzu. nakumbuka mwaka 2009 alikuja mbowe hapo ndo nikajipa moyo nilazima kabla ajaondoka nitashikana mkono naye. ndiyo nilifanikiwa kumshika gwanda lake nilifurahi sana. nawaombea mema wote makamanda wa mwanza na tanzania nzima na wale wa nje ya Tanzania mungu hawape nguvu.
We kabila gani?
atakua wa kabila lako huyo japo yeye anaakiri kuliko ww