kama mgweno mkuuWewe uko ngazi ya shahada ila uandishi wako kama mkenya ....''NIMUSAMEHE..NAKAMUTAKIA''...anyway wewe muache tu maana hakuna namna.
Tabua kuna tofauti ya degree huenda ni ya uhadisi na sio uandishi wa habari au Sanaa.Yaani kama huu ndio uandishi wa mtu mwenye degree....bado tunasafari ndefu sana kielimu kama taifa...
Labda kama ni degree za joto....
Mkuu siyo akili hiyo. Msamehe bure kachanganyikwa. Si unajua mapenzi yanavyotesa?Yaani kama huu ndio uandishi wa mtu mwenye degree....bado tunasafari ndefu sana kielimu kama taifa...
Labda kama ni degree za joto....
😀😀😀😀😛😀 Hyo kal mkuuYaani kama huu ndio uandishi wa mtu mwenye degree....bado tunasafari ndefu sana kielimu kama taifa...
Labda kama ni degree za joto....
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe unaelimu gani?Yaani kama huu ndio uandishi wa mtu mwenye degree....bado tunasafari ndefu sana kielimu kama taifa...
Labda kama ni degree za joto....
Tabua kuna tofauti ya degree huenda ni ya uhadisi na sio uandishi wa habari au Sanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe unaelimu gani?
Kuna tofauti kati ya Pima........ Kuandika habari na hiyo ndio inaathiriaisha kwa ujumlaIna maana wahandisi ndio hawatikiwi kuandika kwa kufuata kanuni z kiuandishi...!!?
Kama vya uhandisi vingeandikwa kama huyo bwana mdogo alivyoandika ni nani angefurahia kusomea uhandishi.....!!!!??
Kuna tofauti kati ya Pima........ Kuandika habari na hiyo ndio inaathiriaisha kwa ujumla
Masomo take ndio yanampa uhalali kama alichukuwa taaluma ya uijinia ni sawa kuandika hivyo ila kama taaluma ya ni ya sanaa na uandishi wa habari..kweli hayukk sawaKwa hiyo mkuu...point yako nini...!!?
Ni kwamba ni halali huyo jamaa kuandika hivyo....!!??
Masomo take ndio yanampa uhalali kama alichukuwa taaluma ya uijinia ni sawa kuandika hivyo ila kama taaluma ya ni ya sanaa na uandishi wa habari..kweli hayukk sawa
ShikamooUnaweza kuniwekea japo paragraph moja ya kitabu cha uhandisi.....!!!??
Shikamoo
Tambua hivi...kuwa mtunzi wa vitabu haimaanishi unajuwa kupanga maneno kiuandishi kwani kuna watu unaweza kuwapa kile unachota kuandika na wakakipanga vizuri...Unaweza kuniwekea japo paragraph moja ya kitabu cha uhandisi.....!!!??