KimIlSung
Member
- Apr 21, 2020
- 15
- 24
Acha Kufuatilia Maisha ya Viongozi .Ukipata Hela UtaachaNimeona mengi kuanzia kwa RC Hadi Mawaziri hakuna anayemkumbuka tena zaidi hata yale aliyoyafanya wakawa wanayahubiri kumbe na wao yaliwachosha
Kumbe hakuna hata mmoja aliyapenda matendo yake labda Ole Sabaya