Akili ni nywele kila mtu na zake,
Bosi wa waziri ni waziri mkuu au rais? Unadhani kuwa waziri ofisi ya RAIS kuna mfanya waziri kuripoti kwa rais au kwa bosi wako waziri mkuu?
Ofisi ya RAIS ni eneo lake la kazi, anaripoti baraza la.mawaziri ambako mkuu wake ni Pinda.
Kabla hatujaanza kupiga makelele walau tujitahidi kujua chain of command ya uongozi wa nchi yetu.
Kesho mtataka RAIS asimheshimu mwenyekiti wake wa serikali za mitaa kisa yeye ni rais yupo juu yake bila kujua bosi wa serikali ya mtaa ni.mwenyekiti wa mtaa husika
Akili ni nywele kila mtu na zake,
Bosi wa waziri ni waziri mkuu au rais? Unadhani kuwa waziri ofisi ya RAIS kuna mfanya waziri kuripoti kwa rais au kwa bosi wako waziri mkuu?
Ofisi ya RAIS ni eneo lake la kazi, anaripoti baraza la.mawaziri ambako mkuu wake ni Pinda.
Kabla hatujaanza kupiga makelele walau tujitahidi kujua chain of command ya uongozi wa nchi yetu.
Kesho mtataka RAIS asimheshimu mwenyekiti wake wa serikali za mitaa kisa yeye ni rais yupo juu yake bila kujua bosi wa serikali ya mtaa ni.mwenyekiti wa mtaa husika