Nimeamini sasa, Rais Kikwete amechoka

Nimeamini sasa, Rais Kikwete amechoka

Ccm kipindi hiki watapaniki sana watachanganyikiwa sana lakini lazima waondoke madarakani hakuna njia nyingine
Jk ni siku nyingi sana ameshachoka bado yupo marekani?






LOWASA HUYO ANAKUJA TANZANIA MPYA.
 
Wapi nimezumguzia afya ya mtu hayo mambo mnafanya nyie Bavicha.

Mimi najua kuwa maradhi yanamkuta binadamu yeyote wala hamna anayeomba maradhi.

Uwezi kunisoma hata siku moja naleta kejeli kwenye maradhi ya binadamu mwenzangu hata siku moja.

Msukuma wa Geita naye ni BAVICHA?
 
Uchovu kiutendaji kamanda na si vinhinevyo. Acheni kabisa kuzungumzia afya za watu. Hata Mungu hapendi.

Hata huyo marehemu alimtakia kifo lowasa kumbe Mungu alimhitaji yeye kwanza
 
Nasikitika kuona taifa letu linaujinga mkubwa kiasi hiki kama kwa hili umeshindwa kuelewa na kukurupuka kulaumu kumbe kwako ndo ufahamu umepungua
waziri mkuu anatumiwa salamu za rambirambi ili kupitia ofisi yake serikali itoe salamu za rambirambi kupitia kwake hivyo ni vyema ukafuatilia vizuri

Polepole nawe una jivu kichwani siku hizi si akili
 
Mkuu mbona unachanganya mambo hatuzungumzii utendaji...bosi mkuu wa mawaziri ktk kuteua au kumfuta kazi au kifo ni rais so yeye ndo mfiwa.
 
Back
Top Bottom