Nimeamini sasa, Rais Kikwete amechoka

Nimeamini sasa, Rais Kikwete amechoka

Sukushangai, tatizo ni viporo vyako vya wanzuki unavyofakamia kabla ya kuja kubwata humu.
Kwa hiyo leo unauaminisha umma kuwa bosi wa baraza la mawaziri ambalo kimsingi mawaziri ndiyo wanawajibika ni waziri mkuu!?
Usijitie upofu hapa hatujadili chain of command tunajadili mheshimiwa waziri mkuu kupewa salamu za rambi rambi kwa kifo cha waziri.

Zichi huyu. Nilitaka nimuulize swali kwa nini PM hakumchukulia hatua Jairo akasema asubiriwe bosi wake ambaye by then alikuwa SA anakagua makaburi? Lakini nimuulize mgonjwa juu ya ugonjwa wake mwenyewe itakuwa haki hiyo? Mgonjwa huzijua dalili za kuumwa kwake tu, maradhi ni yepi anajua daktari.

Lowassa kamvuruga kila mtu Lumumba, wanaamka na ugali usiku wanakunywa chai
 
Mimi ni mmoja wa mashuhuda wa taarifa hiyo na nilimwuliza hata mke wangu kama ulivyoshangaa wewe. Mabadiliko yamemchosha hana kumbu kumbu na kibaya zaidi hata mwandishi wake wa habari kaipeleka ilivyo. Hakuna washauri
 
Zichi huyu. Nilitaka nimuulize swali kwa nini PM hakumchukulia hatua Jairo akasema asubiriwe bosi wake ambaye by then alikuwa SA anakagua makaburi? Lakini nimuulize mgonjwa juu ya ugonjwa wake mwenyewe itakuwa haki hiyo? Mgonjwa huzijua dalili za kuumwa kwake tu, maradhi ni yepi anajua daktari.

Lowassa kamvuruga kila mtu Lumumba, wanaamka na ugali usiku wanakunywa chai

Hahahaaa mkuu hapo umenichekesha sana.
 
Hii nchi vilaza niwengi eeh!? Kwahiyo jamaa anataka kutuaminisha kwamba boss wamawaziri niwaziri mkuu? Kivipi sasa, kwamba mmojawapo akibolonga waziri mkuu anamamlaka yakumwajibisha?

Kwafaida yawengi tu ambao hamjui, waziri mkuu nirais wa Tanganyika. Anadeal na Tamisemi. Ndomaana hujawahi kusikia amefanya ziara yakukagua chochote Zanzibar.
 
Hii nchi vilaza niwengi eeh!? Kwahiyo jamaa anataka kutuaminisha kwamba boss wamawaziri niwaziri mkuu? Kivipi sasa, kwamba mmojawapo akibolonga waziri mkuu anamamlaka yakumwajibisha?

Kwafaida yawengi tu ambao hamjui, waziri mkuu nirais wa Tanganyika. Anadeal na Tamisemi. Ndomaana hujawahi kusikia amefanya ziara yakukagua chochote Zanzibar.

Siyo tu kukagua hata kukamata kuku zanzibar hana uweo huo.
Tumemuelimisha naona kala kona.
 
Mnajitekenya na kucheka wenyewe, nimewauliza swali bosi wa baraza la mawaziri ni nani, ili apewe pole ya kufiwa na waziri wake? Msijichekeshe chekeshe hapa, turudishieni kwanza list of shame kwenye website ya chadema halafu mrudi darasani kujua nani bosi wake nani.

Kesho msije hapa na kusema mbona Babu kampa pole mwanae kwa kufiwa na mtoto wake, si ni mjukuu wake yule?

Mgonjwa Mamvi anaevaa pampa na asieweza kusimama zaidi ya dk 10, mtakaposhindwa Urais October ndipo akili za MAHABA zitakapowatoka na zitawarudia akili mlizoumbiwa nazo
 
Makamanda ebu acheni matani hivi JK na Lowassa nani kachoka.
 
Mnajitekenya na kucheka wenyewe, nimewauliza swali bosi wa baraza la mawaziri ni nani, ili apewe pole ya kufiwa na waziri wake? Msijichekeshe chekeshe hapa, turudishieni kwanza list of shame kwenye website ya chadema halafu mrudi darasani kujua nani bosi wake nani.

Kesho msije hapa na kusema mbona Babu kampa pole mwanae kwa kufiwa na mtoto wake, si ni mjukuu wake yule?

Mgonjwa Mamvi anaevaa pampa na asieweza kusimama zaidi ya dk 10, mtakaposhindwa Urais October ndipo akili za MAHABA zitakapowatoka na zitawarudia akili mlizoumbiwa nazo

Kwenu hakuna wakubwa!!!!. Uzi huu si wa kujadili magonjwa ya watu wala kujadili wagombea na vyama vyao. Tupo hapa kujafili uchovu wa rais na wasaidizi wake.
Usipotoshe umma, kwa serikali iliyo madarakani, kiongozi wa baraza la mawaziri na mawaziri kwa ujumla ni Rais wa nchi.
 
gazeti la serikali Habari leo limeshindwa kuweka msiba huu kama habari kuu....

Siyo habari leo tu mkuu ni magazeti yote tetezi kwa ccm hayajaguswa kabisa na huu msiba kinyume chake yamekomaa na propaganda za kipuuzi za Lumumba.
Maccm hayana utu na ubinadamu kabisa.
 
Siyo habari leo tu mkuu ni magazeti yote tetezi kwa ccm hayajaguswa kabisa na huu msiba kinyume chake yamekomaa na propaganda za kipuuzi za Lumumba.
Maccm hayana utu na ubinadamu kabisa.

Wsmehemwa na mziki wa mabadiliko
 
Akili ni nywele kila mtu na zake,
Bosi wa waziri ni waziri mkuu au rais? Unadhani kuwa waziri ofisi ya RAIS kuna mfanya waziri kuripoti kwa rais au kwa bosi wako waziri mkuu?

Ofisi ya RAIS ni eneo lake la kazi, anaripoti baraza la.mawaziri ambako mkuu wake ni Pinda.

Kabla hatujaanza kupiga makelele walau tujitahidi kujua chain of command ya uongozi wa nchi yetu.

Kesho mtataka RAIS asimheshimu mwenyekiti wake wa serikali za mitaa kisa yeye ni rais yupo juu yake bila kujua bosi wa serikali ya mtaa ni.mwenyekiti wa mtaa husika

Mtaala wa wapi na wa lini ulifundishwa kuwa Mkuu wa Baraza la Mawaziri ni Waziri Mkuu?
 
Makamanda ebu acheni matani hivi JK na Lowassa nani kachoka.

Uchovu kiutendaji kamanda na si vinhinevyo. Acheni kabisa kuzungumzia afya za watu. Hata Mungu hapendi.
 
kwani karudi kutoka kwa Obama?

Inawezekana ni salamu kutoka serikali yake ya amezituma kutoka serikali yake ya kwenye ndege.

Sio kwenye ndege, bali huyu jamaa practically ni mdiaspora - ameishaaga Tanzania na amehamia US. Zile safari zake mlizokuwa mnazibeza, alikuwa akifanya maandalizi ya wapi astaafie. Yupo Tz kutimiza mradi akisubiri kukabidhi nchi ama kwa makomeo au kwa el. Akili yake ameishahamishia kwa kimwezi (hawa ni marafiki tokea akiwa waziri wa mambo ya nchi za nje, alimpigia debe kupata uSG wa UN, na ndio maana mama yule anaitwa ARM akawa amepatiapo kangekewa, ninafikiri na serikali ya SK ilichangia kumjengea mansion, nk nk,). Kwa hivyo kiiitifaki ni haki kabisa mhe Prof JK amtumie salamu za rambirambi mzee wa 'wapigwe tu'.
 
Nahisi kutakuwa na hitilafu flani hapo maana majukumu yake anampa mtu mwingine kana kwamba haelewi.kabla ya hili lilitokea la juzi kati hapo (richmond) badala ya kuviagiza vyombo husika kumkamata mwizi/fisadi,akamwambia mwanasiasa m1 wa upinzani (lissu) amtaje mwisho wa siku katajwa yeye sasa kimya sasa tunamuelewaje kwa mfano?ndomana hata raia wanauliza kuchoka kwake.
 
Siyo habari leo tu mkuu ni magazeti yote tetezi kwa ccm hayajaguswa kabisa na huu msiba kinyume chake yamekomaa na propaganda za kipuuzi za Lumumba.
Maccm hayana utu na ubinadamu kabisa.

mimi nimeshangaa na kusikitika...kiongozi tena wa serikali ya ccm , waziri hapewi kipaumbele...
 
Imenishangaza...labda ni kutaka tu asikike kuonyesha kuguswa. Angalau nimesikia pia kamtumia salaam za rambirambi mme wa marehemu.

Mbona mnakurupuka, Mtendaji mkuu wa baraza la mawaziri ni Mh Pinda, shughuli zote za mawaziri zipo chini yake hivo taarifa kama hiyo ya Mh Rais Kikwete ipo sahihi kiprotocal. Kwa taarifa yenu angekuwa ni mbunge wa kawaida salaam za pole mtu wa kwanza kupewa huwa ni Spika wa Bunge. Sasa nyie mnalishana mataongo pori tupu.
 
Back
Top Bottom