Josorobert
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 629
- 215
Hahahahahaha
Wewe pia utakuwa umechoka, angalia sana kauli zako kamanda. Kuna maisha baada ya uchaguzi.
Hahahahahaha
Kwani anaumwa mkuu?
kupitia taarifa ya habari ya itv usiku huu nimesikia kwamba rais jakaya mrisho kikwete amemtumia salamu za rambi rambi waziri mkuu mh. Mizengo pinda kutokana kifo cha aliyekuwa mbunge wa ulanga na waziri katika ofisi ya rais utumishi mh. Celina kombani.
Sasa najiuliza hivi nani ni mfiwa hapo?
1. Huyu ni mteule wa rais kwa maana ya waziri.
2. Huyu ni waziri anayefanya kazi katika ofisi ya rais ambayo kimsingi ndiye mh. Kikwete.
3. Mjumbe katika baraza la mawaziri ambalo mh. Kikwete ni mwenyekiti.
4. Mwanachama na mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm chama ambacho mh. Rais kikwete ndiye mwenyekiti wake.
Sasa salamu hizo za rambi rambi kwa waziri mkuu zinamantiki ipi?
Hebu watu wa itifaki tusaidiane hapa.
Akili ni nywele kila mtu na zake,
Bosi wa waziri ni waziri mkuu au rais? Unadhani kuwa waziri ofisi ya RAIS kuna mfanya waziri kuripoti kwa rais au kwa bosi wako waziri mkuu?
Ofisi ya RAIS ni eneo lake la kazi, anaripoti baraza la.mawaziri ambako mkuu wake ni Pinda.
Kabla hatujaanza kupiga makelele walau tujitahidi kujua chain of command ya uongozi wa nchi yetu.
Kesho mtataka RAIS asimheshimu mwenyekiti wake wa serikali za mitaa kisa yeye ni rais yupo juu yake bila kujua bosi wa serikali ya mtaa ni.mwenyekiti wa mtaa husika
Na dalali wa nyumba anaripoti kwa nani?
Da! kamanda tawa hata mm nmejiulza sana baada ya kuona habari hiyo. Nkajua labda mizemgo ndiye rais
Makamanda ebu acheni matani hivi JK na Lowassa nani kachoka.
Ukitaka kujua kachoka tazama hapa huyu waziri wake wa ujenzi kwa kazi anazofanya mpaka sasa huko mikoani, then tumia bongo zako kuchuja,
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Milango 10 tayari kuhutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Kahama waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiruka kutoka kwenye gari wakati akiwasili kwenye uwanja wa mkutano mjini Kahama.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli( wa tatu kutoka kushoto) akiongoza meza kuu kumuombea mapumziko mema mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Ulanga Mashariki Mhe. Celina Kombani aliyefariki nchini India tarehe 25 Sept.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwachangamsha wakazi wa Kahama kwa kuimba nao nyimbo za hamasa wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Milango 10.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akienda sambamba na wakazi wa mji wa Kahama.
Wananchi wakiwa wamebanana kabisa kumuona Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Kahama na kuwaahidi ataubadilisha mji huo na kuwa wa kisasa na wenye maendeleo zaidi.
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwaambia wananchi wa Kahama kuwa atawafanyia kazi Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za vyama.
Hivi ndivyo mkutano wa Kahama wa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli ulivyofurika.
Wakazi wa Kahama mjini wakiwa wametosha kwenye mkutano wa kampeni za Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli
Akili ni nywele kila mtu na zake,
Bosi wa waziri ni waziri mkuu au rais? Unadhani kuwa waziri ofisi ya RAIS kuna mfanya waziri kuripoti kwa rais au kwa bosi wako waziri mkuu?
Ofisi ya RAIS ni eneo lake la kazi, anaripoti baraza la.mawaziri ambako mkuu wake ni Pinda.
Kabla hatujaanza kupiga makelele walau tujitahidi kujua chain of command ya uongozi wa nchi yetu.
Kesho mtataka RAIS asimheshimu mwenyekiti wake wa serikali za mitaa kisa yeye ni rais yupo juu yake bila kujua bosi wa serikali ya mtaa ni.mwenyekiti wa mtaa husika