Targaryen
JF-Expert Member
- Feb 20, 2017
- 675
- 640
Nimekaa muda bila hata dusko nimepambana wapi ila nimepiga deal langu moja nimevuta kama 10m sasa bila hata kumwambia mtu naona washkaji wananipiga mizinga.
Mademu wa zamani wananitumia msg za kuni miss, ndugu nao wanapigia kila wakati kunisalimia hapa ndio naamini pesa zinanukia aiseee
Mademu wa zamani wananitumia msg za kuni miss, ndugu nao wanapigia kila wakati kunisalimia hapa ndio naamini pesa zinanukia aiseee