Nobrain
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 256
- 736
- Thread starter
- #161
Ni uhalisia ... ila hakuna namna mkuu. Maisha yaendelee...Jf jukwaa kama hili ni la kupata good time na kucheka. Ila mada zingine zinadhihirisha jinsi dharau inavyoanzishwa ndani ya ndoa. Ndio maana hata wake kwa waume wa watu hucheat maana hata walioshuhudia hiyo ndoa wanasema hii ni sherehe tu hakuna agano hapo. Yaani ex hujakumdharau atakayekuja kukuoa au kuolewa na wewe maana ana free access pass na wewe bila shida nasi twajivunia kuwa ni mwamba. Dunia simama nishuke! twaharibu msingi tukitegemea mjengo mzuri uko mbele
. Tukaiga na dating kumbe lengo ni kuchezeana kwa ngono kabla ya majukumu. Hii mada imemdharaulisha mwanamke kwakumweka kuwa ni cheap product na pia imemdharaulisha mwanaume kwakuwa huyo kidume anayeoa huyo ex wako ni fala kwakuwa yeye kapewa umamlaka na heshima hewa ila wakiamua kukuharibia ndoa wanakuharibia.
vijana tunasafari ndefu. Mama wa mtoto wako kukanyagwa kama tambala bovu kisa ni ex ni fedheha
ila finally uzeeni, mwanamke na mwanaume wote hulia na kujijutia. Heshima ni kitu kikubwa acha. Let's enjoy life.
Ukizuia wewe kuna mtunatafanya tu... aafu fresh life goes on


ha haha
