😂😂Hii kauli alishanitamkia mwenyewe kwa mdom wake nina uhakik ata akishaolewa atataka tuendele kulana ila me stak akiolewa t me bcAu wataka fanya kama Mwana F.A. alolala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi wakati si bwana harusi.... hahaha![]()
Si kweli na wala haitokaa iwe kweliwanaweza jaza uwanja wa taifa ila sina tabia ya kurudi nilikotoka
najaza fuso la maex,ila tukiachana huwa sitaki mazoea tena na siwezi kuwa hata na tone la hisia na exNa wala hujawahi liwq na ex wako? Kabisa
Usije kuta una ex mmoja tu mkuu
Mmmmh!!! Labda kweli mkuu. Ila kwa me ninachojua mwanamke mlieachana kama alikufeel.... hawezi kukusahau... na kama mlikuwa na moments zilizowaleta pamoja huwezi msahau au kuacha kumfeel.najaza fuso la maex,ila tukiachana huwa sitaki mazoea tena na siwezi kuwa hata na tone la hisia na ex
Sawa mkuu 😂Mkuu, naomba Tusubiri mlejesho... kuanzia Mwezi wa 12. Kama utaweza![]()
Mazingira ya ulaji wa jamaa 100% anakula pekuUwa unatumia kinga mkuu?
Safi sana mkuu!Nazikumbuka sana mkuu pamoja na HIV-SELFTEST kwa show ya kawaida. Ila ya kustuana bila mpangilio, zana muhimu mkuu
Vipo pharmacy ?Nakubari kabisa mkuu!!!... huyu mdudu ni hatari sana. Twajitahidi kujikinga mkuu.
Siku hizi kuna vipimo vinaitwa HIV-SELF TEST. hivi mkuu unatumia kupima kwa mate tu. Unasugua kwenye fizi kidogo. Kinakupa majibu mkuu...
Mambo yameadvance si lazima mtoboane au mwende clinic
Hali inatisha tuzidishe umakini!Haraka sana mkuu... huwezi ingia vitani bila kombati wa asilaha mkuu
Pharmacy vipo mkuu!! Lakini hata mahospitalini sokuizi vipo wanagawa bure kabisa mkuu.Vipo pharmacy ?