Nimeamini Mtalaka hatongozwi

Nimeamini Mtalaka hatongozwi

Hiyo ndo huwa naweza japo huwa haitokei mara kwa mara. Ni mpaka kwa demu mpya Tu. Au wewe unaunganisha kwa hadi ulomzoea sana?
Alafu demu niliyemzoe nakula kimazoea ni kama gari jipya,kabla ujalizoea unaendesha mara kwa mara ukishalizoea unalipaki tu,unaendesha mara chache sana
 
Alafu demu niliyemzoe nakula kimazoea ni kama gari jipya,kabla ujalizoea unaendesha mara kwa mara ukishalizoea unalipaki tu,unaendesha mara chache sana
Sure mkuu. Pisi mpya ina vibe sana
 
Unamaisha duni sana alaf unasema unafanya kaz sasa hyo kaz inakusaidia nn
 
unamaisha duni sana alaf unasema unafanya kaz sasa hyo kaz inakusaidia nn
Kwani lazima nikufungukie life langu litakusaidia nini mkuu?

Mimi siyo kama mabwege wanaojipata humu jf wanamiliki majumba na Magari kumbe ndo wa kwanza kugombania vikombe na vijiko vya urithi.

Pesa ya mwanaume hata kama anapata 500, ni kazi inamrisha na ndo inafanya anavumba mjini, na mbususu anachakata.

We kama unamaisha bora unajua mtu anayemchakata mkeo?
Huwenda akawa muuza mkaa tena anamlaza mkeo kwenye gunia anakula uroda.... aafu kwako unambeba kwenye v8 na kumpeleka hotel 5 star.


Life is too short to complicate mkuu, relax. Fanya yako... umbea haufai mkuu.

Nisamehe kama ntakuwa nimekuvunjia heshima na Uboss wako huko unakofanyia kazi.
 
😂😂 iyo mbon ni kawaid me ma ex wng wote nikitak nakula mzigo na naendelea kuheshim mahusaino yao mengin mapya na wao wanaheshim mahusiano yng kuna mmoja mwez wa 11 anaolewa hyu akiolewa tu nampotezea mazima naogop karma ya kula wake za watu 😁😂😂😂
 
iyo mbon ni kawaid me ma ex wng wote nikitak nakula mzigo na naendelea kuheshim mahusaino yao mengin na waowanaheshim mahusiano yng kuna mmoja mwez wa 11 anaolewa hyu akiolewa tu nampotezea mazima naogop karma ya kula wake za watu
Hahah!! Nimecheka sana kaka. Katika ma X ulokula hakuna ambaye ulikula bila kujua, ukakuta ni mke wa mtu?
 
Hahah!! Nimecheka sana kaka. Katika ma X ulokula hakuna ambaye ulikula bila kujua, ukakuta ni mke wa mtu?
Kiukwel me cn ma ex wengi ktk mahusiano yng ni kama 4 tu na wate wanasiliana nao daily so najua fika hakuna ata 1 alieolewa. Uyo ambae anaolewa mwez 11 ata kweny haruc yng alikuja 😂 kiukwel huyo dem ananikubali kinomaaa na me namkubali ile mbay ni ile bc t ndoa hupamgwaa mbingun 😂😂
 
Kiukwel me cn ma ex wengi ktk mahusiano yng ni kama 4 tu na wate wanasiliana nao daily so najua fika hakuna ata 1 alieolewa
Uyo ambae anaolewa mwez 11 ata kweny haruc yng alikuja kiukwel huyo dem ananikubali kinomaaa na me namkubali ile mbay ni ile bc t ndoa hupamgwaa mbingun
Doooh!!! Mkuu... mbona kuachana kwenu kunaweza kuwa kugumu sana. Me nadhani labda Ilibidi hadi sahizi uwe ushambwaga ili akiolewa usimkule.

Au wataka fanya kama Mwana F.A. alolala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi wakati si bwana harusi.... hahaha
 
Tumia kinga mkuu mdudu yupo
Nakubari kabisa mkuu!!!... huyu mdudu ni hatari sana. Twajitahidi kujikinga mkuu.

Siku hizi kuna vipimo vinaitwa HIV-SELF TEST. hivi mkuu unatumia kupima kwa mate tu. Unasugua kwenye fizi kidogo. Kinakupa majibu mkuu...
Mambo yameadvance si lazima mtoboane au mwende clinic
 
Kwahiyo unajivunia uzinzi
Hujawahi gonga nje ya ndoa yako mkuu? Au kumchepuka demu wako?

Hapa tuna enjoy the chatting, kunq mambo huwezi semea kwa watu wanao kufahamu mkuu. Relax mheshimiwa
 
Back
Top Bottom