Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,255
- 2,978
Kukemea pepo la uzembe linalofanya uendeshwe na huyo mchepukoZumaridi kaingiaje Hapa Tena [emoji848]
Kukemea pepo la uzembe linalofanya uendeshwe na huyo mchepukoZumaridi kaingiaje Hapa Tena [emoji848]
Sasa mzee nisitie ndonga, kisa vita.. [emoji23]Binadamu tulivyo wa ajabu,
Huwezi amini, Uko uko ukraine kwenye Vita kali Kuna watoto watakuja kuzaliwa mwezi NOVEMBER mwaka huu
Maana ake hizo mimba zilitungwa kipindi hiki February nchi Yao ikiwa ktk Vita[emoji4]
Jamaa kawekeza kabisa kwa mchepsKwani siku hzi mchepuko una gari?
Kwa mchep anatafuta uromantic ila home hata habari hana,, DP unamuaibisha mkeo sana hujui tu[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]yaani hapo kwa mama G hajawahi hata kumsaidia kuepua chai!wanaume!
Ha ha ha....Hapo ulicheza kama Pele,ila pia hapa ndio naamini hajakuloga,n hisia zetu tuu,pia haya mambo sio ya michepuko ipo pande zote hata sisi wanaume kuna kitu tunamuomba mwanamke kumjaribu akikubali sawa,akiwa mkali unapotezea,
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yaani nmegundua huu Ujinga sio wa kuendekeza, ni kuishi TU kwa misimamo yako ulojiwekea.Kiukweli hawa viumbe siwaelewagi, ukiamua umpe uhuru ili muishi kama binadamu basi yeye hiyo chance anaitumia kukujaribu kifala.
Hizo mbususu zinatupeleka lesi sana[emoji4]Zee naona unajihimu kwenda kwa mchepuko kuosha vyombo.. [emoji1787][emoji1787] mbususu izi aisee.