Nimeamini mchepuko umleavyo ndivyo akuchukuliavyo

Nimeamini mchepuko umleavyo ndivyo akuchukuliavyo

Mayai ya kuchemsha na maziwa hili lilikua bomu la nuclear ulilitengeneza.
Ndo chakula Cha haraka haraka kilichokuepo kwa wakati huo dada angu. Njaa ingeniua.

But hakikunidhuru chochote mbona. Nilikua fresh tu[emoji4]
 
Kwan mwanzo alifanya nani?[emoji3][emoji16][emoji16]
Tena hapo utabembelezwa had usafishe na jiko
Na uzur anatumia lugha laini anakusifia Kama anakuvuta uingie mkenge[emoji4]

Yaan wanawake wetu hawa, janja janja nyingi sana[emoji2]
 
Back
Top Bottom