Nimeona umakini mkubwa sana kwa Lowassa na kambi yake. Hawakurupuki, hawaropoki ovyo hawajibu tuhuma hovyo, wamejipanga vya kutosha na wako makini sana.
Sijawahi ona Lowassa akikurupuka kujibu tuhuma.
Sijaona Lowassa akisema sema ovyo.
Sijaona Tuhuma iliyothibitisha wazi kama Lowassa ni mwizi
LOWASSA
Amekuwa mtu makini sana
Mwenye msaada mkubwa kwa jamii
Mwenye kusikiliza
Anayesaidia vijana
Aliyewatoa watu wengi tofauti na hawa wabinafsi wetu
Mwenye mwelekeo maalumu
Asiyependa utani na mtu
LOWASSA
Hataowaonea huruma wazembe (Alifanya hivi pale alipokuwa waziri mkuu)
Hataacha mambo yaende kiholela
Hata kuwa na ubia kwenye urais wake
Atafanya maamuzi magumu
Atawaangalia wazee
Atawaangalia vijana
Hatawaacha wakinamama
Atawatetea wanyonge.
Atafufufua matumaini yalioachwa na Nyerere
Lowassa aweza ,Lowassa atosha.
Kama kweli Speed ya Lowassa hakuna binadamu yeyote yule awezaye kuizuia
Basi huyo Lowassa sio bindamu wa kawaida ni MASIHA.
Kama Lowassa ni MASIHA basi UFALME wake sio wa hapa duniani bali MBINGUNI.
Sasa kama UFALME wake ni wa mbinguni kwanini Lowasaa anahangaika sana na ufalme wa hapa duniani?
Tusiende mbali ,Lowasa hatujamsikia akilaani ni jinsi gani BMK limeipitisha rasimu ya Katiba kiwizi na kinguvu bila hata ya 2/3 kupatikana ,LOwasa kakaa kimya ,mbona wapo Miccm iliyoamua kusema kweli japo ilizidiwa nguvu lakini walinyanyua kauli akina Kiguru na wengine wakipaza sauti juu ya uwoza wa katiba ,Lowasa kuna kitu alisema zaidi ya kuufyata na kungojea eti agombee Urahisi.
Leo kuna Escrow open and clear ,Lowasa amenyanyua sauti ? Kusema chochote angalau wananchi wakasema Lowasa ameanza ,hamna kitu hatujamsikia wala hajasikika ,hivi ndio ataweza kuwatia nguvuni wezi na wahujumu uchumi ,ni bora ajisafishe ,hivi amewahi kukanusha ule urichmond aliohusika yeye ni kinara wa kazia ile,tafuta international media utamuona Lowasa ndie mhusika mkuu.
Lowassa ni mtu makini. Anayetambua ana maadui wengi hasa ndani ya chama. Chochote atakachosema mtamsema kwa baya. Ndiyo maana ameamua kukaa kimya. Lowassa haongei hovyo. Anayajua majira ya nyakati. Anapendwa na kuungwa mkono na watanzania wengi. Vox populi vox deiTusiende mbali ,Lowasa hatujamsikia akilaani ni jinsi gani BMK limeipitisha rasimu ya Katiba kiwizi na kinguvu bila hata ya 2/3 kupatikana ,LOwasa kakaa kimya ,mbona wapo Miccm iliyoamua kusema kweli japo ilizidiwa nguvu lakini walinyanyua kauli akina Kiguru na wengine wakipaza sauti juu ya uwoza wa katiba ,Lowasa kuna kitu alisema zaidi ya kuufyata na kungojea eti agombee Urahisi.
Leo kuna Escrow open and clear ,Lowasa amenyanyua sauti ? Kusema chochote angalau wananchi wakasema Lowasa ameanza ,hamna kitu hatujamsikia wala hajasikika ,hivi ndio ataweza kuwatia nguvuni wezi na wahujumu uchumi ,ni bora ajisafishe ,hivi amewahi kukanusha ule urichmond aliohusika yeye ni kinara wa kazia ile,tafuta international media utamuona Lowasa ndie mhusika mkuu.
Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.