Nimeamini! Huyu Mwanadada Amebarikiwa....!

Nimeamini! Huyu Mwanadada Amebarikiwa....!

Bahati anaimba sio utani km hii albam ya dunia haina huruma ukichek na video yake yani movie sio movie yani huwezi choka angalia na kilichopo mi nadhani ni kwa sababu anaimba mambo halisi habahatishi. Mungu azidi kumbariki
 
Bahati anaimba sio utani km hii albam ya dunia haina huruma ukichek na video yake yani movie sio movie yani huwezi choka angalia na kilichopo mi nadhani ni kwa sababu anaimba mambo halisi habahatishi. Mungu azidi kumbariki

Kweli, Aujakosea Hata Kidogo
 
ahsante kwa kunikubusha
nlikuwa sijawahi kuusikia huo wimbo dunia haina huruma
nimebahtika kuuona you tube,kweli ana kipaji na nyimbo zake zinaingia kunako roho
Dunia haina huruma - YouTube
 
nahisi mtoa sledi ni poromota wa the so called mwanadada
 
Nilikuwa Nikizisikia Sana Nyimbo Zake Hasa Kwa Vijana Wa Bodaboda Lakini Sikutilia Maanani Kwa Kuwa Mimi Sio Mwamini.

Juzi Nikiwa Ndani Ya Daladala Kuna Msichana Alisahau Album Yake Kwenye Seat, Ikiwa Ni Mpya Kabisa Katoka Kununua Nikasema Ngoja Niichukue Mtaani Nikikutana Na Mpendwa Nitamuuzia Hata Kwa Buku Jero, Cha Kushangaza Nilipofika Mtaani Kila Mteja Alisema Kuwa Yeye Tayari Ana Nakala Ya Hiyo Album, Nikaona Isiwe kesi Ngoja Nikaisikilize Mwenyewe Gheto Japo Sio Type Zangu.

Sikuamini Nilivyo Sikiliza Kwa Makini Nyimbo Zake Haswa Ule Wa "Mzee Tupatupa(kampeni)", Kuna Ule Wa "Maamuzi Yako Leo Ndio Matoke Ya Kesho", Nimebarikiwa Gafla Yaani Haswa Kile Kibao Cha "dunia Haina Huruma". Huyu Dada Wa Kuitwa Bahati Bukuku Jinsi Anavyoilenga Jamii Katika Nyimbo Zake Na Sauti Yake Ya Base, Nampigia Salute! Waungwana Nisaidieni Kama Kuna Album Zake Nyingine Nitajieni Majina Nikazitafute, Uongo Mbaya Huyu Dada Katushika Mpaka Wapagani.

Kama hujabarikiwa utakuwa muislamu
 
Kweli Mkuu Kuanzia Leo Nitakuwa Nafanya Hivyo.

Siku moja nikiwa naitafuta kwenye maduka bila mafanikio hatimaye nilikuta katika duka moja Muuzaji akaniambia dvd imeisha ila anaweza nipatia copy ambayo ina ubora wa hali ya juu sh. 2000. nafsi ilinisuta nikamjibu No. nitasubiri original
 
Mimi si muamini, bahati mbaya mke wangu ni muamini hivyo huwa nalazmika kuskiliza nyimbo nyingi za dini napokuwa nyumbani, huyu dada nyimbo zake nyingi zimekaa kimajungumajungu, zipo chache nazozipeta zina mziki mzito wa taratibu kama rhumba vile, yaani kama unaskliza kanda bongoman, huwa zinanivutia, lakini ujumbe ndani sifuri.
 
Siku moja nikiwa naitafuta kwenye maduka bila mafanikio hatimaye nilikuta katika duka moja Muuzaji akaniambia dvd imeisha ila anaweza nipatia copy ambayo ina ubora wa hali ya juu sh. 2000. nafsi ilinisuta nikamjibu No. nitasubiri original

Hongela Kwa Kuwa Muaminifu, Ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom