mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,170
- 3,106
Nilikuwa Nikizisikia Sana Nyimbo Zake Hasa Kwa Vijana Wa Bodaboda Lakini Sikutilia Maanani Kwa Kuwa Mimi Sio Mwamini.
Juzi Nikiwa Ndani Ya Daladala Kuna Msichana Alisahau Album Yake Kwenye Seat, Ikiwa Ni Mpya Kabisa Katoka Kununua Nikasema Ngoja Niichukue Mtaani Nikikutana Na Mpendwa Nitamuuzia Hata Kwa Buku Jero, Cha Kushangaza Nilipofika Mtaani Kila Mteja Alisema Kuwa Yeye Tayari Ana Nakala Ya Hiyo Album, Nikaona Isiwe kesi Ngoja Nikaisikilize Mwenyewe Gheto Japo Sio Type Zangu.
Sikuamini Nilivyo Sikiliza Kwa Makini Nyimbo Zake Haswa Ule Wa "Mzee Tupatupa(kampeni)", Kuna Ule Wa "Maamuzi Yako Leo Ndio Matoke Ya Kesho", Nimebarikiwa Gafla Yaani Haswa Kile Kibao Cha "dunia Haina Huruma". Huyu Dada Wa Kuitwa Bahati Bukuku Jinsi Anavyoilenga Jamii Katika Nyimbo Zake Na Sauti Yake Ya Base, Nampigia Salute! Waungwana Nisaidieni Kama Kuna Album Zake Nyingine Nitajieni Majina Nikazitafute, Uongo Mbaya Huyu Dada Katushika Mpaka Wapagani.
Juzi Nikiwa Ndani Ya Daladala Kuna Msichana Alisahau Album Yake Kwenye Seat, Ikiwa Ni Mpya Kabisa Katoka Kununua Nikasema Ngoja Niichukue Mtaani Nikikutana Na Mpendwa Nitamuuzia Hata Kwa Buku Jero, Cha Kushangaza Nilipofika Mtaani Kila Mteja Alisema Kuwa Yeye Tayari Ana Nakala Ya Hiyo Album, Nikaona Isiwe kesi Ngoja Nikaisikilize Mwenyewe Gheto Japo Sio Type Zangu.
Sikuamini Nilivyo Sikiliza Kwa Makini Nyimbo Zake Haswa Ule Wa "Mzee Tupatupa(kampeni)", Kuna Ule Wa "Maamuzi Yako Leo Ndio Matoke Ya Kesho", Nimebarikiwa Gafla Yaani Haswa Kile Kibao Cha "dunia Haina Huruma". Huyu Dada Wa Kuitwa Bahati Bukuku Jinsi Anavyoilenga Jamii Katika Nyimbo Zake Na Sauti Yake Ya Base, Nampigia Salute! Waungwana Nisaidieni Kama Kuna Album Zake Nyingine Nitajieni Majina Nikazitafute, Uongo Mbaya Huyu Dada Katushika Mpaka Wapagani.