Nimeamini hanipendi huyu msichana

Nimeamini hanipendi huyu msichana

kuna boya huko anabembelezwa amkaze,!. wake up son! kusanya virago vyako pita kushoto. ukimuona, kua kama hujamuona, ukikutana nae mpite pakavu akikuuliza mwambie ukweli kua "sikuwezi kua na ww tena maana the only thing you have to offer is sex and apparently hutoi. mahusiano hayo ya nn sasa!? au yanahusiana na nn mkuu!? . msipotezeane muda kuna pisi kali tu kitaa na umri upo advantageous kwako!.
 
1. Huna ushawishi kabisa. Yaani una pesa lakini hauna mbinu za kumnasa.
Hujabobea kwenye fani.
Hufai kuwa hata Monitor wa darasa la mabaharia Chipukizi.

2. Hapo kamrembo kanakudanganya tu, kwa Tz ya sasa hakuna demu anayekosa na kushindwa kutoka kwao.
So, yawezekana unanyimwa wewe napewa mimi.

Ushauri wangu.
(a) Muache tafuta mwingine ili usijutie.
(b) Endelea naye ili baadae ujutie vizuri liwe somo kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahusiano bila sex yanatoka wapi siku hiz?

Huyo dada kakuchomesha mahindi sana hlf ni mwaka mzima yan siku 365 kaninginiza ahadi tu bila kuishusha!

Kwa jinsi ulivyoelezea, huyo dada ana agenda ya kukufanya uwe mtaji wake wa maisha na kafanikiwa kwa mwaka mmoja...Wewe bado unangangania tu!

Akili yake inasema 'nina bwege langu lipo mahali, ni kulikamua tu na kujipimia nitakavyo'
Asee! Umenikumbusha kitu mkuu, kuna siku tumekaa tunapiga story akanambia eti amesha nisoma kuwa mimi ni mkali maana akiniomba kitu eti huwa nakasirika na sipendi aniombe kitu.

Au ulikuwa ni mtego anijaribu ili niendelee kumpa hela ?

Daah! Wanawake akili zao wanazijua wenyewe



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hela anatokea kwenye betting na hali, kwa hali hii ni sahihi huyo demu kumzingua!
Kubeti ni kama mbadala tu sio kwamba ndo kazi yangu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaliwa hadi chenchi hapo, shtuka na uchape lapa. Huyo hana nia na wewe na ameshajua umrkufa na kuoza kwake. Anatumia huo udhaifu wako, kama silaha na kama ukiendelea naye nakwambia utakuja kulazwa kwa presha kushuka.

Fanya hivi, mpotezee kimyakimya bila kumwambia lolote lile. Yaani usimtafute, wala kushughulika naye. Ukiona hajarudi, basi elewa nilichokwambia ni sahihi. Na kama akijileta jifanye si wa kumpapatikia kama mwanzo, jifanye upo busy sana na mishe zako na una muda mdogo.

Karudi ukaonesha una muda naye, atajua zoba lake bado lipo upande wake. Yaani hivyohivyo kaza kama kweli alikufanyia vile kisa upendo atajileta mwenyewe na akija piga na ukiona hakuna kizuizi jua ana mtu mwingine na wewe ulikuwa wa dharura tu
Ushauri konk na ntautumia kama ilivyo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna boya huko anabembelezwa amkaze,!. wake up son! kusanya virago vyako pita kushoto. ukimuona, kua kama hujamuona, ukikutana nae mpite pakavu akikuuliza mwambie ukweli kua "sikuwezi kua na ww tena maana the only thing you have to offer is sex and apparently hutoi. mahusiano hayo ya nn sasa!? au yanahusiana na nn mkuu!? . msipotezeane muda kuna pisi kali tu kitaa na umri upo advantageous kwako!.
Kweli kabisa mkuu, sasa vipi hivyo vi chenchi vyangu alivyo tumia bila mimi kufaidi itakuwaje ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anakutumia wewe kwa matatizo yake halafu mashine anapingwa na mtu mwingine huo ni umbumbumbu Kiongozi mpotezee huyo anakula vyako tu yeye vyake hataki viliwe hahahahahahahahah.
 
1. Huna ushawishi kabisa. Yaani una pesa lakini hauna mbinu za kumnasa.
Hujabobea kwenye fani.
Hufai kuwa hata Monitor wa darasa la mabaharia Chipukizi.

2. Hapo kamrembo kanakudanganya tu, kwa Tz ya sasa hakuna demu anayekosa na kushindwa kutoka kwao.
So, yawezekana unanyimwa wewe napewa mimi.

Ushauri wangu.
(a) Muache tafuta mwingine ili usijutie.
(b) Endelea naye ili baadae ujutie vizuri liwe somo kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimekusoma...
Kwa mimi sahizi ni mwendo wa kulikimbia penzi bovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anakutumia wewe kwa matatizo yake halafu mashine anapingwa na mtu mwingine huo ni umbumbumbu Kiongozi mpotezee huyo anakula vyako tu yeye vyake hataki viliwe hahahahahahahahah.
Daah wakuu mnazidi kunishika penyewe, na nikimuona lazima maswali ayakimbie,
Lazima nimwambie tena kuhusu sex

Akipiga danadana Red Card ntaichomoa taratibu mbele yake....

Maamuzi ya kikubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom