T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Kwetu hii mambo bado ipo na watu bado wanarithishana wake sana tu...
Evelyn SaltNyooooo nachepukaga na wewe
Mkuu mi mwenyewe nimemuelewa huyu shem wangu,Kweti hii tabia haipo. Usifanye hivo bhana wanawake ni wengi mwambieni azae nje ila watoto mumuhesabu kama wa kaka yenu hio ndio iko powa
Kwann mkuu?Duuuhh mzee upo sawa kiakili kweli??
HahahMbona umekubal kurith kirahis sana..au shemej ana chura mkubwa
Mana cjaona hata dalili ya Ku resist kaka.na ww unaishije huna demu????by the way ungekaza hizo Mila za zaman azifny kaz.kumbe wachag mko ivo duHahah
Mkuu mtoto mzuri huyu, shem anaita snaaa.Mana cjaona hata dalili ya Ku resist kaka.na ww unaishije huna demu????by the way ungekaza hizo Mila za zaman azifny kaz.kumbe wachag mko ivo du
Ndo maana ujaleta pingamizMkuu mtoto mzuri huyu, shem anaita snaaa.
Mkuu swali gani hilo?Je kaka yako akifufuka ghafla Utasema nini? Si unajuwa mapenzi yana umiza.
Seriously?!Je kaka yako akifufuka ghafla Utasema nini? Si unajuwa mapenzi yana umiza.
Ndio nasubiri kusikia atawajibu vipi akina mama.
Japo hakuwahi nishuhudia na tabia zangu za kihuni, nilikuwa namficha sana.
Kiufupi hatujawahi gombana, nilikuwa nikija kwa broh lazima nilete mapochopocho.
Aliniambia nitakuja kuwa baba mzuri