Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,813
Duh... It depends. That would have been a big pill for me to swallow. But if for u it looks smaller like Piriton swallow it.
Kumbe una aibu aibu ndo maana huna demuMimi kiukweli hisia zimeanza kunijiaa,![]()
Hivyo hapa imekuja kutoa taarifa kuwa una mrithi shemejiyo!Mimi kiukweli hisia zimeanza kunijiaa,![]()
Comment adimu kama chozi la samakiMtakuja kuishi Dar au?
Hizi mila zina hasara na faida zake
Hahaha maneno yako kama yanaukweli mkuu.Sio mke wa kaka yako kaambiwa akurithi ww baada ya familia kukuona domo zege?
Asante evelynNakuombea shemeji akubali.
Amen
Umefikiri nje ya boxSio mke wa kaka yako kaambiwa akurithi ww baada ya familia kukuona domo zege?

Taking care of bila dudu, huyo binti bado mdogo lazima atahitaji huduma ya kiunyumbaMimi binafsi siwezi nika-go through with that. Ila ntahakikisha she is well taken care of, since she is family.
Sio mke wa kaka yako kaambiwa akurithi ww baada ya familia kukuona domo zege?
nimecheka sana baada na kukutana na hii coment iliyofungua dimba.Sio mke wa kaka yako kaambiwa akurithi ww baada ya familia kukuona domo zege?



Kinara wa kuchepuka Tanzania bara na visiwani!......Mungu anakuona wewe dada!!Nakuombea shemeji akubali.
Amen
Nyooooo nachepukaga na weweKinara wa kuchepuka Tanzania bara na visiwani!......Mungu anakuona wewe dada!!