Nimeachwa tena, sijui tatizo langu ni nini?

Nimeachwa tena, sijui tatizo langu ni nini?

badiebey

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
5,875
Reaction score
3,117
Hi All,

Jamani honestly nina stress acha tu.

Nataka nitumie jioni hii online walau nipunguze mawazo mana hata ubusy wa kazi haupunguzi maumivu ya mapenzi.

Story ni nimeachwa tena, yes, ni jambo limejirudia sanaa maishani mwangu kiasi kwamba nishasali sana na ninaendelea kuomba Mungu anisaidie.

Hii ni mara ya 5 naachwa, kama kuacha mtu nimeacha only mara 1.

Am the type of woman ninayeitwa mzuri na wengi, charming, intelligent nk.

Sawa kama binadamu nina kasoro lakini naamini zinaweza vumilika, sioni kama nina anything extreme.
Umri mid 20's,elimu chuo

Kinachoniliza jmn ,nilikua na uhusiano mzuri sana kama mwaka hivi na mwanaume nnaeshindwa msahau mpaka sasa,kama baada ya miezi 6 alipunguza sana mawasiliano,nikavumilia badae nkaona nimuite tuongee anambie tatzo ni nini

Kweli tuliongea na alisema wazi hana tatzo na mimi,yuko tu off mood so anataka tu muda ajitafakari,mhhh inaumiza lakin nilipata relief kdogo nkamwambia sawa d,ntakuwepo kwa ajili yako,yeye tangu siku hyo yuko kimyaa,hajibu msg hapokei simu nk,jibu la ukimya linaumiza jmn acha tu

Imepita miez 4 sasa hanitafuti wala nini,mara 2 nilipata hasira sana nkamjibu vibaya nilimwambia ukimya huu ni ujinga hatuwezi endesha mahusiano hivi

Siku hio akasema mi na yeye basi tuwe marafiki,nikishaumia sana iliniumiza zaidi lakini nkasema yatosha God knows i tried ,na mi sijamtafta zaidi ya mwezi sasa najiuguza

Ishu ni hii trend ya kuachwa,mpaka lini,tatzo ni nini,nimechoka hii hali

Sijawah achana na mtu kwa ugomvi mkubwa,niliemuacha once several tyms nilishamuomba msamaha if ts karma i paid the price niliachwa na wawili baada yake,wanaoniacha wanasemaga tu ur so beautiful and still young bla bla,ts not u ts me,wengine distance inavunja mahusiano bila sababu, nk...
I don't get it,tatzo langu nini hasa
Nimepoteza apetite ya mapenzi kabisa,mana naachwa najipa moyo namove on naachwa tena khahh,
Ukiniambia kupenda saivi ni jambo impossible kwangu

MY BEHAVIOUR KWNY MAHUSIANO
Jmn sijisifu but ni mtu ninaependa mwanaume mmoja in a time,sio ombaomba japo naweza omba hela nikiwa na shida like 3,4 times a year,(sijui ni mara chache au nyingi),najali,nacare,napika,nampa mapenzi ,namuuguza akiugua,namsikiliza,namheshimu,mambo ya massage na madeko yote nnayojua,siko desperate,sijawah zungumzia ndoa japo i may give some hints,inshort am a total woman n i let him be the man,
Hakuna alowahi ntajia any shortcoming nirekebishe mana huwa nauliza jmn nmekukosea nini japo niweke sawa ,wanasema hamna,pls assist nina maumivu makali kila nikiwaza nimeachika tena
 
Hi All,
Jmn honestly nna stress acha tu,
Nataka ntumie jioni hii online walau nipunguze mawazo mana hata ubusy wa kazi haupunguzi maumivu ya mapenzi
Story is NIMEACHWA TENA,yes,ni jambo limejirudia sanaa maishani mwangu kiasi kwamba nishasali sana na ninaendelea kuomba Mungu anisaidie..
Hii ni mara ya 5 naachwa,kama kuacha mtu nimeacha only mara 1,
Am the type of woman nnaeitwa mzuri na wengi,charming,intelligent nk
Sawa kama binadamu nna kasoro lakini naamini zinaweza vumilika,sion kama nna anything extreme
To be continued....


pole mamie endelea kuomba Mungu.
 
Hi All,

Jamani honestly nina stress acha tu.

Nataka nitumie jioni hii online walau nipunguze mawazo mana hata ubusy wa kazi haupunguzi maumivu ya mapenzi.

Story ni nimeachwa tena, yes, ni jambo limejirudia sanaa maishani mwangu kiasi kwamba nishasali sana na ninaendelea kuomba Mungu anisaidie.

Hii ni mara ya 5 naachwa, kama kuacha mtu nimeacha only mara 1.

Am the type of woman ninayeitwa mzuri na wengi, charming, intelligent nk.

Sawa kama binadamu nina kasoro lakini naamini zinaweza vumilika, sioni kama nina anything extreme.

To be continued....

Panya ni janga la kitaifa.
 
Hi All,
Jmn honestly nna stress acha tu,
Nataka ntumie jioni hii online walau nipunguze mawazo mana hata ubusy wa kazi haupunguzi maumivu ya mapenzi
Story is NIMEACHWA TENA,yes,ni jambo limejirudia sanaa maishani mwangu kiasi kwamba nishasali sana na ninaendelea kuomba Mungu anisaidie..
Hii ni mara ya 5 naachwa,kama kuacha mtu nimeacha only mara 1,
Am the type of woman nnaeitwa mzuri na wengi,charming,intelligent nk
Sawa kama binadamu nna kasoro lakini naamini zinaweza vumilika,sion kama nna anything extreme
To be continued....

1. Una umri gani bibie?

2. Mara zote ulipoachwa,walikupa sababu?

3. Ilikuwaje na ww ukaacha?.

4. Before hujaachwa mlikuwa na migogoro? Kama ilikuwa mliitatua?.

5. Reaction zako zipoje pindi inapotokea mmekwaruzana?.


Naomba unisaidie majibu ya maswali hapo juu mkuu. Kisha ntarudi tena
 
Jaribu kujinguza tabia zako huenda kuna vitu unawabore hao uliopata kuwa nao,au pia unapenda watu ambao hamuendani kitabia,kwani unaweza ukawa serous sana na ukakuta mwenzako mtu wa utani na sometimes akikutania unakuwa mkali,mwisho wa siku akimpaa anayefurahia utani ataona wewe humfai,au uko too demanding,angalia vyote hivyo,au hushauriki ukishaamua lako unaona linafaa.
 
Hi All,
Jmn honestly nna stress acha tu,
Nataka ntumie jioni hii online walau nipunguze mawazo mana hata ubusy wa kazi haupunguzi maumivu ya mapenzi
Story is NIMEACHWA TENA,yes,ni jambo limejirudia sanaa maishani mwangu kiasi kwamba nishasali sana na ninaendelea kuomba Mungu anisaidie..
Hii ni mara ya 5 naachwa,kama kuacha mtu nimeacha only mara 1,
Am the type of woman nnaeitwa mzuri na wengi,charming,intelligent nk
Sawa kama binadamu nna kasoro lakini naamini zinaweza vumilika,sion kama nna anything extreme
To be continued....

Pole mama, there is a reason and season for every matter under the sun. Ujipe mapumziko, no man is worth your time and tears.
Kama unasali anza kusali kwa kumaanisha... tatizo ni kusali huku unashiriki zinaa, shetani anafurahi unapovurugika na kuvunjika moyo hivyo usichanganye mambo ukampa kibali akuletee fake material zake ziendelee kukuumiza.
Jambo lingine, watu wengine wanaweza kukuona mzuri na uko vizuri na watu ila mtu wako akawa hakuoni hivyo moja ya sababu ni sababu za kiroho. ..mume wa kiroho, hawa ma spiritual husband huwa wanataka wanawake wazuri pia so unakuta sometimes bila kujua umeonesha tabia ya ajabu mf. Kuwa controlling wkt wanaume hawataki kutawaliwa lkn sio wewe ni the spiritual husband ana operate. Huwa yanavuruga sana mahusiano mpk ndoa za watu. Tafuta maombezi
 
Pole Bibie kwa hiyo jimbo lipo wazi wengine tunataka kuliwania ebu weka vigezo na masharti tujimwage bila chenga.
 
Maybe wewe unapenda pesa sana ndo maana unaachika badiebey
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom