Nimeachwa na mpenzi wangu

Nimeachwa na mpenzi wangu

......learn the lesson, Never forget the experience she'd just taught you!


#MosKwito !
 
Chukua huu ushauri strugle na maisha kwanza ukifanikiwa mapenzi/mahusiano ni stage ya mwisho kabisa, Ila huyo sio riziki unapoteza muda kuendelea kufikiria na ukiendelea utakua mchepuko tu ukaribishe maradhi.
ni kwel mkuu aangalie asije akawa anapenda yeye mwenzie anamuona mchepuko
 
Aaaaah........sasa usituchoshe........hii thread ya ngapi unafungua kuwa umeachwa........wewe sio wa kwanza bana.........

.....hahhha, nenda nae taratibu.
MMU ilivuma miaka ile kwa kuvumiliana, tumvumilie tu,.....


#MosKwito !
 
.....hahhha, nenda nae taratibu.
MMU ilivuma miaka ile kwa kuvumiliana, tumvumilie tu,.....


#MosKwito !

Zile siku sijui nani atazirudisha..........miss em old days kwa kweli.......
U mzima lakini........?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Naona ushadata sasa thread nyingi sana mkuu, Haikusaidii kitu ila futa picha zake, sms zake, Whatsapp kumbukumbu zake zote maisha yanaendelea.
 
dume.........!!
tajirimtata unaonekana hela yako kupatikana ni tata sasa pole sana... Leave her alone let her go do other thing..... Hakupendi sasa unataka kulazimisha acha bwana vibinti vingi mtaana chagua kipoozeo ukitafuta mke mwema ni hayo tu,......... Tumia condom
 
Last edited by a moderator:
Tukijiingiza robo robo kwenye hayo mapenzi mnatuona ma players,Kiko wapi sasa!

Ukimpenda kwa 100% haina guarantee kama hutotendwa!
 
Tajirimtata inawezekana pia kuwa Mpenzimtata
 
Zile siku sijui nani atazirudisha..........miss em old days kwa kweli.......
U mzima lakini........?

.....hahhah, zitarudi tu madhali nyie wakongwe mtamhurumia na kuonyesha upendo kwa "muathirika wa pendo" kama huyu mheshimiwa wa tungo hii.... 😉

Mimi mzima bana, maisha yanakwenda


#MosKwito !
 
Inauma sana hiyo..weka picha yake humu., lakini cha Msingi ungejiua mana ndo njia sahihi
 
Ulibweteka, hukumpa changamoto!

Tafuta hela, atarudi au utampata mkare zaidi yake, dem kitu gani.
 
Back
Top Bottom