Nimeachwa na mpenzi wangu

Nimeachwa na mpenzi wangu

Tajirimtata unaonekana hela yako kupatikana ni tata sasa pole sana... leave her alone let her go do other thing..... hakupendi sasa unataka kulazimisha acha bwana vibinti vingi mtaana chagua kipoozeo ukitafuta mke mwema ni hayo tu,......... TUMIA CONDOM
 
Mapenzi ukipenda sana ukajisahau siku ukibadilikiwa inauma sana, tena ukitegemea huyo ndio utakuwa naye baadae akikuacha unahisi umepoteza kila kitu yaani kama huna thamani tena,
I Wish she Could Stay but She Choose to left me, I Feel Empty Inside . I Will Always Love Her
 
mkuu amekupa ushauri mzur sana! la msing katafute maisha kwanza kwa maana mapenz yapo tu ukiweka swa maisha nakuapia watakuja wenywe tu kaz itakua kuchagua

ukwel mchungu japokua unasaidia
 
Hii ni post ya tatu kuhusu kuachwa kwako, if you are not careful, you will soon present with post - traumatic or pychosocial disorders.
 
ndiyo ukachanyikiwa umefungua thread mara mbili mbili alikuwa anakupa nini?
 
Mungu anipe moyo wa kupenda kiasi hcho mpk nikiachwa nione nimepoteza kitu cha thamani....mi cjawah kuaxhana na mtu ikaniuma hvyo aiseee
 
dalili za kuvurugwa naziona kwa mbaliiiiiiiiiii
 
Mapenzi ukipenda sana ukajisahau siku ukibadilikiwa inauma sana, tena ukitegemea huyo ndio utakuwa naye baadae akikuacha unahisi umepoteza kila kitu yaani kama huna thamani tena,
I Wish she Could Stay but She Choose to left me, I Feel Empty Inside . I Will Always Love Her

Hiv unaumia sn?? maumivu yake ni km kufananisha na nin ?kupoteza kaz,kuunguliwa nyumba moto,kufiliska au kupoteza wazaz??
Nakuulza koz mm uchungu wa kuachana siujui bt haimaanish cjaeah kuachana kwny mahusiano?!hapana?!!bt cjawah kufeel any pain at ol
 
mkuu amekupa ushauri mzur sana! la msing katafute maisha kwanza kwa maana mapenz yapo tu ukiweka swa maisha nakuapia watakuja wenywe tu kaz itakua kuchagua

ukwel mchungu japokua unasaidia

Chukua huu ushauri strugle na maisha kwanza ukifanikiwa mapenzi/mahusiano ni stage ya mwisho kabisa, Ila huyo sio riziki unapoteza muda kuendelea kufikiria na ukiendelea utakua mchepuko tu ukaribishe maradhi.
 
Huyo demu wako mwongo kapata jamaa mwingine wa kumgegeda we kakuona hufai,unajua madem wengi ni wajasiliamali na watu wa fursa labda kaona pesa ya kumhonga huna kaamua kusepa ila kiroho safi mkaushie utapata mwingine wapo wengi sana
 
Muda sio mrefu utachanganyikiwa mbona unamllilia sana huyo dem alikuonjesha msalani nini? tujuze
 
Mapenzi ukipenda sana ukajisahau siku ukibadilikiwa inauma sana, tena ukitegemea huyo ndio utakuwa naye baadae akikuacha unahisi umepoteza kila kitu yaani kama huna thamani tena,
I Wish she Could Stay but She Choose to left me, I Feel Empty Inside . I Will Always Love Her

1. Tafuta karatasi na kalamu
2. Chora mstari katikati
3. Upande wa Kushoto andika mazuri yake
4. Upande wa kulia andika mabaya yake, ikiwemo hilo la kukuacha
5. Hakikisha umeandika yote, usiache kitu.....

Ukishamaliza hii HomeWork utanijibu....



#MosKwito !
 
Tatizo la kupiga mbupu kitoto na ukosefu wa ubunifu.......
Tafuta hela ,piga mashine kiustadi hayatakukuta tena huko mbeleni
 
Back
Top Bottom