Nimeachwa na mpenzi wangu

Nimeachwa na mpenzi wangu

Pole mwaya hakuwa chaguo lako tafuta mwingine huyo achana naye kabisa na wala usimfikiri mawazoni mwako wewe songa mbele na dhidi kumwomba mungu kwani mke/mume mwema hutoka kwa bwana
nimeachwa na mpenzi wangu niliyempenda toka tukiwa wadogo naumia sana.
 
Maisha hayana straight paths, kuna milima na mabonde, cha muhimu ni kusonga mbele.
 
Tajirimtata....ulikuwa unamnyima hela ndio maana hebu punguza utata
 
Last edited by a moderator:
Kaniacha ananiambia anataka a struggle na life mwenyewe nimemwambia si tu struggle wote kakataa kaniacha , i still love Her , Bado nampenda sana na namwitaji kwenye maisha yangu.(tunaumbali ila hatujaonana karibia mwaka mmoja sasa yeye yupo shule)

kapata mwngne huyo kamdatisha, kaza moyo mkuu
 
Mnunulie gari uone kama atakukataa hhhhhaaa
 
Pole kaka hata mimi imewahi nitokea ishu kama hiyo lakini baada ya miaka minne tukarudiana usijali jikaze tajirimtata japo inauma kuwa busy tu Na dawa yake ni kupiga sana kazi atarudi tu huyo
 
Pole sana dawa yake we tafuta mwingine tuu, ukishindwa hii tafuta kitu chakukufanya busy cha kujishuhulisha nacho i mean cha kikuingizia kipato.
 
Back
Top Bottom