Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Kihvyo una ela ya mawazo tafuta ela achana na kuumia kisa mambo madogo tafta pesa wataumia waoKivp kaka
Kihvyo una ela ya mawazo tafuta ela achana na kuumia kisa mambo madogo tafta pesa wataumia waoKivp kaka
Unamuhurumiaje mtu asiye na huruma na wewe.Nilikuwa nataka nimchape rafiki yake ili mimkomoe but sometime namuhurumia tena
Daah..tatzo mi kulazimisha mtu kitu kama hataki cwezKosa kubwa kumshika kipochi ukamuacha ulitakiwa utumie nguvu umlee
Sawa kakaKihvyo una ela ya mawazo tafuta ela achana na kuumia kisa mambo madogo tafta pesa wataumia wao
kuka tano mkuu..mwanaume msimamo..ila umenichekeshaKuna Mwalimu wa sekondar , sijampelekea moto bado sababu nipo mbali naye.
Jana nikawa nachat na Manzi fulan ivi nilishamplekea moto
Kwa bahati mbaya nikaituma neseji moja kwa huyu Mwalimu.
Aiaeee amenitumia mimeseji hiyooo anataka nmjibu nanyingine za kulaumi.
Nikapiga kimyaaa
Akaanza kujisemesha mwenyewe
Nikapiga kimyaa
Akaanza kuniita G, G ,wewe G, inamaana umelala
Nikapiga kimyaaa
Sawa G nilikua nmeshapanga kukupa ,lkn meseji hii imenionyesha ........
Nikapiga kimya
Akaendelea kujiaemesha weee
Baadae nimemjibuje
"Hiyo meseji nilikua namtumia mdada fulan ,tulipotezana miaka miwili nyuma, ............ Ila sio mtu wangu,, mie nmeshakupata wewe, niandilie hiyo K muda mfupi ujao nakuja kuila"
Akajisemesha semesha kutaka kuprove
Nikakomaa hapohapo
Akakubali yakaisha
Wiki ijayo kati ya Jtano au Ijumaa, naenda kumpasua mchoro
Ningesema nikiri kosa kizembe, nianze kulialia nakuomba msamaha, Ingeisha hiyooo, Nisingempasua mchoro.
Udhaifu mwingine tena huuDaah..tatzo mi kulazimisha mtu kitu kama hataki cwez
Sawa broUnamuhurumiaje mtu asiye na huruma na wewe.
Upuuzi mwingine huu.
Nalia moyoniSasa mbona unacheka
Hawa madogo wanazingua sanaNdio maana huwa nawambia,madem hawataki Userious nao.
Makosa makubwa ulofanya.
kumuomba Msamaha...ndio maana akakuambia hujamkosea ( tayar keshajua hujiamin na huna uhakika wa unachokifanya yaan wee ni mtoto).
Kumbembeleza ..... Huu ndo ujinga mwenyewe, unabembeleza wakati hujafanya kosa.
Kumuuliza kww nn amekuweka black list .....
Kumshik mbunye alafu kumuacha , ungelazimisha kumtombaa ili mradi mpaka uliposhika mbunye alikua katulia, basi ungemtombaa hakuna shida.
HUTOKAA UMTOMBE ,LABDA KM NAYEYE NI MTOTO WA UMRI KM ULIVYO WEWE.
KAMA UNATAKA UMTOMBEE. NITAFUTE NIKUPE MADINI, Atakuletea K mwenyewe huo MCHORO uupasue.
Zero IQ unafeli wapi ,kuwapa madesa madogo wako
siamini kama ni wewe dear,kwel umebadilikaNaam Naam Naam !!!
Umeniita mara tatu Dear , bila shaka kuna Jambo kubwa
Nisitiri tu, maisha yenyewe ndo hayahaya ukiwa nayo serious ,utayaona yanaboa fulan ivi
Au nasema uongo Ndugu zangu?.
hahahaaa ila punguza utundu basi na weweEehh namm ndio nimemuona mzembe sanaa
Mapenzi yakiwa yamoto ndo hapohapo unabidi umpeleke moto
Akija kushtuka, kama nayeye alikua anakupima tu, tayar unakua umeshamla.
Atabaki kujilaumu tu..
yaan nimeshaliwa daaah
Dear nmerudihahahaaa ila punguza utundu basi na wewe
Eeeehhh moneytalk usikazie sana , chini ya jua kila kitu hubadilikasiamini kama ni wewe dear,kwel umebadilika
Nimekuelewa sana na nimejifunza kitu next time siwez fanya ujinga huu i swearTatizo halipo kwake lipo kwako Mkuu maana hivyo vyote ananvyofinya ni Drama zakawaida tu kwa mwanamke atafanya vile yeye hisia zake zinavyomtuma.
Tabia hizi ndio zimekuponza :
Kwenda kwake mara kwa mara - mkuu huna kazi za kufanya ? Muda wowowte akikuhitaji unaacaha mambo yote na kumfata yeye sasa anaona we ni mwanaume wa haina gani ?
Kupiga simu zaidi ya mara 8
Mkuu nahisi hapa hata ma sms utakiwa unatuma yakutosha hadi uhakikisha zile sms za kifurushi ulizojiunga ziishe.
Acha hii tabia mara moja. Wasiliana na mtu kwa kipimo kama yupo interested kuchat chat nae vizuri nakama yupo tayari kuongea na wewe ongea nae vizuri tu... ila sio ku force nakuwa Needy unajishushia heshima yako Mkuu
Kuomba msamha hovyo hovyo?
Mkuu inaonesha hujiamini na unaendeshwa sana na izo hisia za mapenzi.
Unaomba msamaha kwa kosa gani haswa?
Puuzia hizo drama mkuu
hahahaaa nilikumiss loveDear nmerudi
Baada ya mapumziko ya Ban
kwel mambo hubadilika,haya hiyo shemu ifanunue basi