Jamani dunia ina mambo, viumbe mbuzipori nae ni ishu nowdays? nilikubali kubadili dini (mwanamke hana dini) ili nifunge ndoa na nimpendae ila nilimweka wazi kuwa kitimoto sitaweza mweka mdomoni mwangu.
Matokeo yake wazazi wake wakapinga ndoa yetu, wakilazimisha uwepo wa kitimoto katika maisha yangu.
Nilipokataa nikapigwa chini
Matokeo yake wazazi wake wakapinga ndoa yetu, wakilazimisha uwepo wa kitimoto katika maisha yangu.
Nilipokataa nikapigwa chini