ulongo
Member
- Jun 17, 2016
- 20
- 7
Wanajukwaa naomba ufafanuzi wa kitalaamu kwa wenye ufahamu kabla sijaenda TUME YA USULUHISHI WA AJIRA.
Niliajiriwa na kampuni moja hapa Dar nikapewa mkataba nitafanya hiyo kazi kama miezi 10 baada ya hapo wakanipeleka mikoani nkafanya kazi huko kwa miaka 2 sasa nikaachishwa kazi huko baada ya kuachishwa kazi kule nilikaa kama siku 17 bila wao kunirudisha Dar ambapo ndio niliajiriwa baada ya kunirudisha nikaenda kuwadai pesa zangu za posho kama sheria inavyosema kwamba ukimsitishia mtu ajira akiwa sehemu ambayo sio ulipomuajiria unatakiwa kumlipo posho kila siku toka siku ile ambae umesitisha ajira yake hadi siku utakaemsafirisha wa hawataki na kifungu cha sheria ni hiki hapa chini
43.-(1) Kama mkataba wa mfanyakazi umesitishwa katika mahali ambapo sipo mfanyakazi alipoajiriwa, mwajiri atatakiwa aidha, (a) kumsafirisha mfanyakazi na vitu vyake kwenda sehemu aliyoajiriwa; (b) kulipa gharama za usafirishaji wa mfanyakazi kwenda mahali alipoajiriwa; au (c) kumlipa mfanyakazi posho ya usafiri kwenda sehemu aliyoajiriwa kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (2) na posho ya gharama kwa kila siku wakati wa kipindi, kama kipo, kati ya tarehe ya kusitishwa kwa mkataba na tarehe ya kumsafirisha mfanyakazi na familia yake kwenye sehemu aliyoajiriwa. (2) Posho iliyotajwa chini ya kifungu kidogo cha (1)(c) itakuwa sawasawa na angalau nauli ya basi kwenda kituo cha basi kilicho karibu na sehemu ya kuajiriwa.
JE, NIKIENDA TUME YA USURUHISHI WATANISAIDIA KUPATA PESA ZANGU AU MIMI NDIO SIJAKIELEWA KIFUNGU HICHO CHA SHERIA YA AJIRA
msaada wenu please
Niliajiriwa na kampuni moja hapa Dar nikapewa mkataba nitafanya hiyo kazi kama miezi 10 baada ya hapo wakanipeleka mikoani nkafanya kazi huko kwa miaka 2 sasa nikaachishwa kazi huko baada ya kuachishwa kazi kule nilikaa kama siku 17 bila wao kunirudisha Dar ambapo ndio niliajiriwa baada ya kunirudisha nikaenda kuwadai pesa zangu za posho kama sheria inavyosema kwamba ukimsitishia mtu ajira akiwa sehemu ambayo sio ulipomuajiria unatakiwa kumlipo posho kila siku toka siku ile ambae umesitisha ajira yake hadi siku utakaemsafirisha wa hawataki na kifungu cha sheria ni hiki hapa chini
43.-(1) Kama mkataba wa mfanyakazi umesitishwa katika mahali ambapo sipo mfanyakazi alipoajiriwa, mwajiri atatakiwa aidha, (a) kumsafirisha mfanyakazi na vitu vyake kwenda sehemu aliyoajiriwa; (b) kulipa gharama za usafirishaji wa mfanyakazi kwenda mahali alipoajiriwa; au (c) kumlipa mfanyakazi posho ya usafiri kwenda sehemu aliyoajiriwa kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (2) na posho ya gharama kwa kila siku wakati wa kipindi, kama kipo, kati ya tarehe ya kusitishwa kwa mkataba na tarehe ya kumsafirisha mfanyakazi na familia yake kwenye sehemu aliyoajiriwa. (2) Posho iliyotajwa chini ya kifungu kidogo cha (1)(c) itakuwa sawasawa na angalau nauli ya basi kwenda kituo cha basi kilicho karibu na sehemu ya kuajiriwa.
JE, NIKIENDA TUME YA USURUHISHI WATANISAIDIA KUPATA PESA ZANGU AU MIMI NDIO SIJAKIELEWA KIFUNGU HICHO CHA SHERIA YA AJIRA
msaada wenu please