- Thread starter
- #41
HahhaaMe
Doctor ninataaluma ya miziziology ntakutibu
HahhaaMe
Doctor ninataaluma ya miziziology ntakutibu
Jifunze fanya kazi mwenyewe achana na vya bure shauri yako.....Kiukweli ushalizwa mjombaHabar wakubwaa nimejiunga na moja ya makampuni ya forex inayoitwaa "swiftcryptoexpress" na kutrade nikata $4000 , ishu inakujq hapa!! Wanasema ili niweze kuchomoa hii hela lazima nilipe $ 600 ndo niweze kupata hyo hela!!
Please mwenye kujua hili naomba msaadaaa
(the name of the company is swiftcryptoexpress)
Nasubir
Masha jr na Max![]()
Sasa ume trade wewe au wametrade wao? Hizo dola 200 ulizowatumia hesabu umehonga. Maana hutazipata, na ukizipata rudi utupe mrejesho.Habar wakubwaa nimejiunga na moja ya makampuni ya forex inayoitwaa "swiftcryptoexpress" na kutrade nikata $4000 , ishu inakujq hapa!! Wanasema ili niweze kuchomoa hii hela lazima nilipe $ 600 ndo niweze kupata hyo hela!!
Please mwenye kujua hili naomba msaadaaa
(the name of the company is swiftcryptoexpress)
Me nakomaa mwenyewe ingawa kuna kupanda na kushuka kuwin sana na kupoteza kabisa pesa yako hivyo vyote napitia but kuna siku zaja zitakuwa za vicheko pasipo maumivuJifunze fanya kazi mwenyewe achana na vya bure shauri yako.....Kiukweli ushalizwa mjomba
Pole sana hamna biashara kama hiyo, umeliwa
Umenichekesha sana. Ni kweli. Zote zimeyeyuka.Kwa mtazamo wangu hiyo $200 haipo na hiyo $4000 pia haipo na hiyo $600 pia itapotea
Fanya kazi Hakuna hela ya bureHabar wakubwaa nimejiunga na moja ya makampuni ya forex inayoitwaa "swiftcryptoexpress" na kutrade nikata $4000 , ishu inakujq hapa!! Wanasema ili niweze kuchomoa hii hela lazima nilipe $ 600 ndo niweze kupata hyo hela!!
Please mwenye kujua hili naomba msaadaaa
(the name of the company is swiftcryptoexpress)
Ndugu vipi kuhusu Binary Option , waweza kunitajia wawili au watatu ambao ni reliable maana ndo nataka nifungue Real Account baada ya kupiga DEMO ya ExpertOption kwa miezi 7 hivi, ila hawa ExpertOption wananipa wasiwasi maana hawakubali matrader kutoka nchi zenye STRICT regulations.Unatrade crpto wengi ni matapeli ungeniuliza broker kam xm,jp,tempelr ningekujibu hao sijui
hujui hesabuUshapigwa hapo $200×2300 =460,000. Sasa wazawadie tena na hiyo $600×2300 = 1,380,000.
Hii mambo mengine bhana, sagala duhu.
Lekaga nkoyi abhayanda bhenabha. Vijana wanapenda shortcutHahaha! Onisecha sana
Nifunndishe mwalimu, inawezekana sijui kama sijui. Ila ninachojua hiyo ni demo wala sikuweka umakini katika usahihi sasa ikiwa mwalimu umeona kosa sahihisha.hujui hesabu