Nime panga namna ya kutumia boom langu la mwaka wa tatu ili niweze kutoka na chochote

Azimio la kazi

Senior Member
Jun 7, 2023
138
451
Wakuu habari, ni imani yangu mnakumbuka ule uzi niliouweka hapa jukwaani siku chache na wengi wenu mlinipa ushauri mzuri.
Sasa na jambo hapa baada ya kupitia Mashauri yenu na Kwa sababu bado na mwaka mmoja wa kuwa chuoni, nime panga namna ya kutumia boom langu la mwaka wa tatu ili niweze kutoka na chochote kama ifuatavyo;
Kwa sababu boom hivi sasa ni laki sita
1. Kwenye Kila boom takata laki tatu na nusu Kisha taiweka fixed account
Hivyo baada ya boom nne takuwa nime savesave million moja na laki nne, ambazo naamin baada ya kumaliza chuo naweza anzisha ki biashara chochote.
Ambapo mm Nawaza kufanya biashara ya nafaka au vitenge

2.Pia mpango wangu wa kwenda south Africa nime sitisha.
3.Takuwa mbali na Wanawake.
4. Mwaka wa tatu tajibana ni tafuta Laki tano nimpe mama aanze biashara ya samaki ya yeye kama yeye.
 
Wakuu habari, ni imani yangu mnakumbuka ule uzi niliouweka hapa jukwaani siku chache na wengi wenu mlinipa ushauri mzuri.
Sasa na jambo hapa baada ya kupitia Mashauri yenu na Kwa sababu bado na mwaka mmoja wa kuwa chuoni, nime panga namna ya kutumia boom langu la mwaka wa tatu ili niweze kutoka na chochote kama ifuatavyo;
Kwa sababu boom hivi sasa ni laki sita
1. Kwenye Kila boom takata laki tatu na nusu Kisha taiweka fixed account
Hivyo baada ya boom nne takuwa nime savesave million moja na laki nne, ambazo naamin baada ya kumaliza chuo naweza anzisha ki biashara chochote.
Ambapo mm Nawaza kufanya biashara ya nafaka au vitenge

2.Pia mpango wangu wa kwenda south Africa nime sitisha.
3.Takuwa mbali na Wanawake.
4. Mwaka wa tatu tajibana ni tafuta Laki tano nimpe mama aanze biashara ya samaki ya yeye kama yeye.


Ukitoka chuoni na GPA nzuri sana is better than any saving na mikakati mingine.

Achana na hadithi hakuna kazi mtaani, pambana na Shule wakati wa kusome 100%, usichanganye.

Kula vizuri, lala vizuri, pata maitaji yote, uto tu laki 3 utatupata sana, wewe laza misonge yako.
 
Ukitoka chuoni na GPA nzuri sana is better than any saving na mikakati mingine.

Achana na hadithi hakuna kazi mtaani, pambana na Shule wakati wa kusome 100%, usichanganye.

Kula vizuri, lala vizuri, pata maitaji yote, uto tu laki 3 utatupata sana, wewe laza misonge yako.
Poa poa cheif nimekupata
 
Akili ndio itakufanya UISHI Maisha uyatakayo na sio hiyo saving unayotaka kuifanya.

Kwa sasa naweza kukushauri,
1. Nunua vitu vya ndani kidogo kidogo mfano Godoro na kitanda, majiko, Kochi, TV n.k
Kila boom nunu kitu kimoja hasa vile vinavyoanzia laki mbili.

2. Soma huku ukijifunza kazi zingine kama Ufundi, ushonaji, U-MC, udereva, udalali, au kazi yoyote unayoipenda nje ya ualimu unaousomea chuoni.

3. Usipende kukaa na Wanafunzi chuoni mara Kwa mara. Mawazo Yao ni Utopia, hayana uhalisia. Ukiwa huna kipindi ingia kitaa ujichanganye ili upate uzoefu na uhalisia WA kitaa mapema Kabla hujamaliza chuoni.
Hii itakusaidia utakapomaliza utajua ABC za kitaa kuanzia namna ya Kupanga, kutafuta Kodi, kutafuta Pesa ya Kula na bills zingine.

4. Soma short course zinazotolewa chuoni zile za miezi mitatu. Huwaga zinatolewa Kwa gharama nafuu.

5. Enjoy Maisha na wasichana warembo Kwa sababu huo ndio umri wako wa kuwafurahia. Sio umri wa kuwa mwaminifu kwenye mapenzi Kwa sababu huna Mpenzi au MKE. Hii itumike Kwa uangalifu na kiasi.

6. Jifunze kuifanya Pesa ikutii na sio wewe uitii Pesa.

Zingatia, Pesa haikufanyi ufanikiwe Ila Akili yako ndio yenye uwezo wa kukufanya ufanikiwe.
Pia Pesa haitunzwi Bali inawekezwa na uwekeze sehemu ambayo unauzoefu nayo.
Ndio maana nikakuambia huo muda ambao ungeiwekeza Pesa, itumie hiyo Pesa kuwekeza katika kununua ujuzi mwingine ambao ni nje ya Kazi za academic.
 
Komaa na maisha ya chuo kwanza hiyo boom ni kwaajili ya huduma zako muhimu kipindi Hiko Cha chuoni acha kuipigia mahesabu hewa maana unaweza kosa vyote, ukajibana usiishi maisha standard na mtaani isifike na ikifika ikakupotea kwenye mazingira yasiyoeleweka.
 
Tuletee GPA, mafanikio yako kwa watu wanaojibiidisha. Hela zipo, kazi zipo, mafanikio ya halali yako, usijitese sababu ya savings wakati unasoma.
Sawa kaka, pia naweza mshukuru Mungu Toka first year had sasa GPA yangu haipo below 4 nakuahid mwaka wa tatu tapambana
 
Komaa na maisha ya chuo kwanza hiyo boom ni kwaajili ya huduma zako muhimu kipindi Hiko Cha chuoni acha kuipigia mahesabu hewa maana unaweza kosa vyote, ukajibana usiishi maisha standard na mtaani isifike na ikifika ikakupotea kwenye mazingira yasiyoeleweka.
Asanteh kwa ushauri mkuu
 
Akili ndio itakufanya UISHI Maisha uyatakayo na sio hiyo saving unayotaka kuifanya.

Kwa sasa naweza kukushauri,
1. Nunua vitu vya ndani kidogo kidogo mfano Godoro na kitanda, majiko, Kochi, TV n.k
Kila boom nunu kitu kimoja hasa vile vinavyoanzia laki mbili.

2. Soma huku ukijifunza kazi zingine kama Ufundi, ushonaji, U-MC, udereva, udalali, au kazi yoyote unayoipenda nje ya ualimu unaousomea chuoni.

3. Usipende kukaa na Wanafunzi chuoni mara Kwa mara. Mawazo Yao ni Utopia, hayana uhalisia. Ukiwa huna kipindi ingia kitaa ujichanganye ili upate uzoefu na uhalisia WA kitaa mapema Kabla hujamaliza chuoni.
Hii itakusaidia utakapomaliza utajua ABC za kitaa kuanzia namna ya Kupanga, kutafuta Kodi, kutafuta Pesa ya Kula na bills zingine.

4. Soma short course zinazotolewa chuoni zile za miezi mitatu. Huwaga zinatolewa Kwa gharama nafuu.

5. Enjoy Maisha na wasichana warembo Kwa sababu huo ndio umri wako wa kuwafurahia. Sio umri wa kuwa mwaminifu kwenye mapenzi Kwa sababu huna Mpenzi au MKE. Hii itumike Kwa uangalifu na kiasi.

6. Jifunze kuifanya Pesa ikutii na sio wewe uitii Pesa.

Zingatia, Pesa haikufanyi ufanikiwe Ila Akili yako ndio yenye uwezo wa kukufanya ufanikiwe.
Pia Pesa haitunzwi Bali inawekezwa na uwekeze sehemu ambayo unauzoefu nayo.
Ndio maana nikakuambia huo muda ambao ungeiwekeza Pesa, itumie hiyo Pesa kuwekeza katika kununua ujuzi mwingine ambao ni nje ya Kazi za academic.
Sawa mtibeli ila apo kwenye warembo hapana kaka 😂😂
 
Back
Top Bottom